Kweli kabisa mkuu, juzi nilienda wizara ya mambo ya ndani kufiatilia jambo moja hivi ! Niliwakuta polisi pale kwenye kibanda cha ukaguzi wapo harsh na wenye taharuki utadhan nchi ipo vitan au kuna emergency. Ilibidi niondoke kwakuwa kwanza ilipaswa niwaulize wao. Nikaona tutagombana bure kwakuwa nazijua haki zanguSisi hatuna muda Wa kutafuta mahusiano mema na Raia, Tukijenga uhusiano tunaweza kupata wakati mgumu kuwagonga virungu Chadema watakapokuwa wanaandamana au wanafanya mikutano ya kisiasa