FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,886
- 109,214
chadema siyo chama cha siasa ni genge la waharifu hakuna kiongozi aliyemsafi hata mmoja.
= wahalifu
chadema siyo chama cha siasa ni genge la waharifu hakuna kiongozi aliyemsafi hata mmoja.
Hivi nyie mnawaona watanzania kama wajinga sana siyo? Hawa wanaoua ni chadema? Tumia akili acha kutumika
naona Redbrigade kamnyooshea marehemu Mwangosi mtutu hapo.
R.I.P Mwangosi.
Sio Nyerere pekee bali Sokoine, Imran Kombe na Kolimba pia waliuliwa na CHADEMA
mhuni tu ndiyo anaweza fikiri this way kwamba serikali ipo chadema inauwa watu wengi sana tena wengine mbele ya RPC,ie case ya mwangosi, kwamba CDM ilivalisha watu nguo za polisi ujinga wa hali ya juu, ccm itakuwa imeishiwa mikakati inatengeneza akina mchange ili ionewe huruma halafu B7 mnakuja kushangilia wakati kimsingi jambo hili ni aibu kwa serikali na ccm, lkn kwa ujinga wenu mnaona kama cdm imejulikana maovu yake, hivi nyie B7 njaa zenu haziwapi hata nafasi ya kutumia akili zenu?chadema kila mtu anajua ni waharifu sana siyo watu wa kuchekea hata kidogo polisi wacheze nao wasiwaache hata kidogo wameuwa watu wengi sana.
ndo kilicho bakia tu tz jeshi lishike nchi uozo wote uekwe hadharaniNatamani sana jeshi lichukue madaraka. Kila uozo utakuwa hadharani na hapo ndipo huu usanii wa policcm na wajinga wengine utapata majibu sahihi. Jeshi letu tunawaamini kamateni nchi.
akimwaga ugali nawe wamwaga mboga, ngoja huu mchezo sijui mshindi atakuwa nani!
Nakupongeza kwa mawazo yenye mtazamo mpana. Some folk wanashabikia bila kujali matokeo yajayo.Ni vyema wakafanya zoezi hili kwa kufuata misingi ya haki, sheria na utawala bora.
Ninategemea huyu DCI ana akili timamu za kuelewa hata wengine japo hawana magwanda ya polisi wanaelewa hata zaidi yake. Na hivyo sitegemei atatumia raslimali na muda wa taifa kuchunguza cdm waliwavalisha magwanda raia na kuwapa silaha wamuue mwangosi. Na akikubaliana na hilo, atakuwa mwehu.
La pili anapaswa aelewe, kuwa yeye ni mtumishi wa serikali na si wakala wa ccm. Uzito alioyapa maelezo ya mchange, alipaswa kuwa ameshautoa vile vile kwa maelezo ya madiwani wa shinyanga waliobainisha ugaidi na hujuma kama sera za mambo ya ndani ya ccm.
Akumbuke kwamba jeshi lake siku zote halina uwezo wa kudhibiti machafuko nchini na yanapotokea, polisi hukaa kando na kuwaachia JWTZ.
Njama zozote dhidi ya CDM, operation yoyote yenye picha ya uwakala wa ccm kudidimiza cDM, upendeleo wowote kwa ccm na ugaidi wake na ama uonevu wowote utakaofanywa kwa CDM, na kuonyesha kwamba ni katika michakato ya kutaka kudhoofisha CDM kuelekea uchaguzi mwakani, (kama walivyofanya kwa Rwakatare, na kumezea ugaidi wa akina masele), utapelekea machafuko makubwa sana na ya kihistoria Tanzania.
Haihitaji kutafuta kura za maoni ili kutambua ni kwa kiasi gani Watanzania wamechoshwa na uonevu unaofanywa na serikali kwa kutumia dola kwa vyama vya upinzania hasa vinavyodhihirisha nguvu ya kukubalika zaidi ya ccm.
Polisi ifahamu amani ya nchi hii inategemea sana uadilifu na ukwlei wao katika kushughulikia masuala yanayogusa siasa nchini.
BARAZA LA VIJANA MKOA WA NJOMBE LIMEPINGA VIKALI TUHUMA ZINAZOENDELEA KUTOLEWA NA SERIKALI DHIDI YA CHADEMA KWA KUTUMIA VYOMBO VYA DOLA NA USALAMA WA TAIFA. AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI KATIKA MKOA WA NJOMBE KWA NJIA YA SIMU kiongozi wa vijana WA CHADEMA MARA TU BAADA YA KUCHAGULIWA SIKU MBILI ZILIZOPITA ANASEMA HIZI NI NJAM ZA WAZI ZA CCM KUTAKA KUWAFANYA WATANZANIA WAKICHUKIE CHAMA CHAO KWA MINAJILI NI CHAMA CHA WAUAJI, LAKINI PIA LENGO LINGINE NI KUENDELEA KUPOTEZA LENGO NA KUTAKA KUFUTA AJENDA YA UCHAGUZI NDANI YA CHAMA NA WATU WAJADILI MAUAJI NA KUDAI CHADEMA NDIO WAHUSIKA.
MWENYEKITI HUYO WA VIJANA ALIDAI HUU NI WAKATI WA UCHAGUZI NA WANACAHAMA WAJIKITE KATIKA MWASWALA YA UCHAGUZI KAMA CHAMA CHETU KINAHUSIKA NA SERIKALI PAMOJA NA VYOMBO VYAKE WANAO USHAHIDI BASI WACHUKUE HATUA NA SIO VINGINEVYO, LAKINI VEMA WAKAJUA KUWA WATANZANIA SIO WAJINGA WANAJUA NANI KAUA NANI ANASINGIZIWA, WITO KWA WANCHAMA NA WAPENZI WA CHADEMA TUZIDI KUUNGANA KATIKA KUPAMBANA NA CHAMA KISICHO NA NIA YA DHATI YA KULETA UKOMBOZI KATIKA NCHI HII.
chadema siyo chama cha siasa ni genge la waharifu hakuna kiongozi aliyemsafi hata mmoja.