Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Angalizo: Post hii imeandikwa kwa Upole kabisa.
Jana Jioni Tukaondoka Bukoba kwenda Dodoma tukamuacha Mhe.Mbatia akiendelea kushirikiana na viongozi wengine eneo la Maafa
Polisi wakaanza kumtafuta na mwisho wa Siku wakamzuia kuendelea kutembelea maeneo hayo na kugawa misaada mbalimbali
Tuna habari tunazotafuta uthibitisho kuwa Hata maturubali yaliyotolewa na Viongozi Freeman Mbowe, Mhe.Mbatia, Mhe.Severina Mwijage, Mhe.Lwakatare kwa niaba ya viongozi wa UKAWA kwa wananchi kwa ajili ya kutengenezea mahema kama sehemu ya msaada wa Dharura kwa wananchi hao waliokuwa hawana msaada wowote, Polisi walipita na Kuanza kuyakusanya.Wanadai misaada yote ipite kwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa tu.Urasimu usio na maana katika crisis hii.
Kwanini Polisi watumie muda na nguvu kufanya haya? Kwanini wasitumie nguvu hizo wao na jeshi kama sehemu ya Rapid Response kusaidia watu hawa waliokuwa stranded kwa zaidi ya saa 72?
Kwenye majanga haya tunahitaji Umoja wa Kitaifa zaidi. Waliothirika ni Watanzania wenzetu.
Leo Bungeni Mwenyekiti wa Bunge Mhe.Azzan Zungu ameomba radhi kwa Ubaguzi uliofanyika Bungeni leo baada ya mtoa taarifa ya Serikali kumbagua Kiongozi wa Kambi ya Upinzani wakati akitoa pongezi kwa viongozi wa kitaifa walio-respond haraka kuhusiana na maafa haya
Hata juzi polisi walitufuata Nyakato Sekondari wakiongozwa na OCD.
Maafa haya yametuvua nguo kama Taifa. Hata kwenye majanga bado watu wanataka kuleta siasa tena za kibaguzi.
Hali hii inatoa picha kwamba Taifa limegawanyika
Picha iliyojitokeza Bukoba ndio hali halisi ya Taifa letu
Taifa lisiloweza ku-respond haraka katika kuokoa maisha ya watu wake na kuendeleza lugha za "Tumepeleka wataalamu kufanya tathmini au Uhakiki" ni taifa lisilojua interest zake.
Primary interest(Maslahi ya Msingi Kabisa) za kulifanya taifa lolote kuwa taifa linaloheshimika ni kulinda watu na Ardhi(Mipaka) yake. Ndio maana taifa lolote lipo tayari kuingia vitani kwa ajili ya kulinda hata nchi moja ya Ardhi yake au Mtu wake. Ndivyo nadharia za Diplomasia na siasa za kimataifa zinavyoelekeza.
Sasa kwa hapa kuna kitengo chini ya Waziri Mkuu nilidhani kitengo hiki cha Maaafa ni kwa ajili ya kulinda Interest hizi .Kina wataalamu na kila kitu standby
Serikali inashibdwaje kutoa hata Milioni 300 za dharura ili watu wasilale nje na kukosa vyakula?
Kwa kuwa kuna kambi za majeshi kanda ya Ziwa ambako tumepakana na nchi Tatu ilishindikana nini kufunga mahema haraka na kutoa msaada ?
Mungu Epushia Mbali,tungekua tumevamiwa na Adui kijeshi tukapigwa mabomu ingekuaje?
Nawapongeza wafanyabiashara waliojitolea jana
Walionesha Utaifa bila Ubaguzi ingawa Rais Magufuli mara nyingi amekua akitumia lugha za kuwagawa watu
Mara nyingi amekua akisema alichaguliwa na Watanzania Maskini
Jana Matajiri wamejitolea kuwasaidia Watanzania waliokumbwa na maafa bila kujali ni Tajiri au maskini aliyeathirika
Tetemeko hili limetu-expose
Mungu wape wepesi watu wa Kagera
Mungu ibariki Tanzania
Aluta Continua,Victory Ascerta....
Ben Saanane
xxxxxxxxxx
UPDATES:
Mhe.James Mbatia ameendelea na Ziara Misenye
Jana Jioni Tukaondoka Bukoba kwenda Dodoma tukamuacha Mhe.Mbatia akiendelea kushirikiana na viongozi wengine eneo la Maafa
Polisi wakaanza kumtafuta na mwisho wa Siku wakamzuia kuendelea kutembelea maeneo hayo na kugawa misaada mbalimbali
Tuna habari tunazotafuta uthibitisho kuwa Hata maturubali yaliyotolewa na Viongozi Freeman Mbowe, Mhe.Mbatia, Mhe.Severina Mwijage, Mhe.Lwakatare kwa niaba ya viongozi wa UKAWA kwa wananchi kwa ajili ya kutengenezea mahema kama sehemu ya msaada wa Dharura kwa wananchi hao waliokuwa hawana msaada wowote, Polisi walipita na Kuanza kuyakusanya.Wanadai misaada yote ipite kwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa tu.Urasimu usio na maana katika crisis hii.
Kwanini Polisi watumie muda na nguvu kufanya haya? Kwanini wasitumie nguvu hizo wao na jeshi kama sehemu ya Rapid Response kusaidia watu hawa waliokuwa stranded kwa zaidi ya saa 72?
Kwenye majanga haya tunahitaji Umoja wa Kitaifa zaidi. Waliothirika ni Watanzania wenzetu.
Leo Bungeni Mwenyekiti wa Bunge Mhe.Azzan Zungu ameomba radhi kwa Ubaguzi uliofanyika Bungeni leo baada ya mtoa taarifa ya Serikali kumbagua Kiongozi wa Kambi ya Upinzani wakati akitoa pongezi kwa viongozi wa kitaifa walio-respond haraka kuhusiana na maafa haya
Hata juzi polisi walitufuata Nyakato Sekondari wakiongozwa na OCD.
Maafa haya yametuvua nguo kama Taifa. Hata kwenye majanga bado watu wanataka kuleta siasa tena za kibaguzi.
Hali hii inatoa picha kwamba Taifa limegawanyika
Picha iliyojitokeza Bukoba ndio hali halisi ya Taifa letu
Taifa lisiloweza ku-respond haraka katika kuokoa maisha ya watu wake na kuendeleza lugha za "Tumepeleka wataalamu kufanya tathmini au Uhakiki" ni taifa lisilojua interest zake.
Primary interest(Maslahi ya Msingi Kabisa) za kulifanya taifa lolote kuwa taifa linaloheshimika ni kulinda watu na Ardhi(Mipaka) yake. Ndio maana taifa lolote lipo tayari kuingia vitani kwa ajili ya kulinda hata nchi moja ya Ardhi yake au Mtu wake. Ndivyo nadharia za Diplomasia na siasa za kimataifa zinavyoelekeza.
Sasa kwa hapa kuna kitengo chini ya Waziri Mkuu nilidhani kitengo hiki cha Maaafa ni kwa ajili ya kulinda Interest hizi .Kina wataalamu na kila kitu standby
Serikali inashibdwaje kutoa hata Milioni 300 za dharura ili watu wasilale nje na kukosa vyakula?
Kwa kuwa kuna kambi za majeshi kanda ya Ziwa ambako tumepakana na nchi Tatu ilishindikana nini kufunga mahema haraka na kutoa msaada ?
Mungu Epushia Mbali,tungekua tumevamiwa na Adui kijeshi tukapigwa mabomu ingekuaje?
Nawapongeza wafanyabiashara waliojitolea jana
Walionesha Utaifa bila Ubaguzi ingawa Rais Magufuli mara nyingi amekua akitumia lugha za kuwagawa watu
Mara nyingi amekua akisema alichaguliwa na Watanzania Maskini
Jana Matajiri wamejitolea kuwasaidia Watanzania waliokumbwa na maafa bila kujali ni Tajiri au maskini aliyeathirika
Tetemeko hili limetu-expose
Mungu wape wepesi watu wa Kagera
Mungu ibariki Tanzania
Aluta Continua,Victory Ascerta....
Ben Saanane
xxxxxxxxxx
UPDATES:
Mhe.James Mbatia ameendelea na Ziara Misenye