The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
Kila mtu anajua kuwa mishahara ni midogo mno
kwa polisi wa Tanzania hadi wengine kudai rushwa
na hata kushiriki uhalifu ili wapate kipato
Sasa ghafla bin vuuu kuna wimbi la watu ambao wanaitwa
'polisi jamii' wanavaa uniform na wamesambaa jiji zima
kwa Daresalaam....
nasikia kwamba hawa watu hawalipwi ni wanajitolea
haingii akilini mtu kujitolea siku nzima au wiki nzima
kufanya kazi ya kujitolea bila malipo
je hawa watu wanalipwa?
na kama hawalipwi wanaishije?
na hatari za kuwa na hili jeshi lisilo rasmi ni zipi?
sasa naona wameanza kukamata magari barabarani pia
what next huko mbeleni?
kwa polisi wa Tanzania hadi wengine kudai rushwa
na hata kushiriki uhalifu ili wapate kipato
Sasa ghafla bin vuuu kuna wimbi la watu ambao wanaitwa
'polisi jamii' wanavaa uniform na wamesambaa jiji zima
kwa Daresalaam....
nasikia kwamba hawa watu hawalipwi ni wanajitolea
haingii akilini mtu kujitolea siku nzima au wiki nzima
kufanya kazi ya kujitolea bila malipo
je hawa watu wanalipwa?
na kama hawalipwi wanaishije?
na hatari za kuwa na hili jeshi lisilo rasmi ni zipi?
sasa naona wameanza kukamata magari barabarani pia
what next huko mbeleni?