Sele Mkonje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 643
- 844
Habari za Jumapili ndugu zangu.
Tumekuwa tukishuhudia katika vyombo vya habari vya kimataifa pale linapotokea tukio la kigaidi ama uhalifu ya aina yoyote ile basi wale wanaohusika picha zao huwekwa hadharani ili watu wawatambue. Hii husaidia sana Kurahisisha Kazi ya polisi kuwakamata.
Picha zinapowekwa wazi watu wanaowafahamu huweza kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi ili kurahisisha ukamatwaji wa wahalifu hao. Haitoshi kusikia tu kwamba polisi imekamata majambazi kadhaa ama magaidi kadhaa ila itakuwa ni vizuri zaidi zikaoneshwa picha zao na majina zao pia.
Hii itakuwa msaada kwa Mimi kama raia mwema nikiona kuna taarifa naweza kutoa kwa polisi kwa sababu namfahamu Jambazi huyo. Kutuonesha silaha tu haitoshi inatakiwa watuoneshe na Sura za wahusika ili tulisaidie jeshi letu kupambana na uhalifu...
Note: Sifahamu kanuni za jeshi ya Polisi kama zinakataza ama kuruhusu kuoneshwa kwa sura za waalifu,hivyo mwenye ujuzi wa jambo hii tafadhali anielimishe.
Asante Sana na Nawasilisha.
[HASHTAG]#mckonjetv[/HASHTAG]
Tumekuwa tukishuhudia katika vyombo vya habari vya kimataifa pale linapotokea tukio la kigaidi ama uhalifu ya aina yoyote ile basi wale wanaohusika picha zao huwekwa hadharani ili watu wawatambue. Hii husaidia sana Kurahisisha Kazi ya polisi kuwakamata.
Picha zinapowekwa wazi watu wanaowafahamu huweza kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi ili kurahisisha ukamatwaji wa wahalifu hao. Haitoshi kusikia tu kwamba polisi imekamata majambazi kadhaa ama magaidi kadhaa ila itakuwa ni vizuri zaidi zikaoneshwa picha zao na majina zao pia.
Hii itakuwa msaada kwa Mimi kama raia mwema nikiona kuna taarifa naweza kutoa kwa polisi kwa sababu namfahamu Jambazi huyo. Kutuonesha silaha tu haitoshi inatakiwa watuoneshe na Sura za wahusika ili tulisaidie jeshi letu kupambana na uhalifu...
Note: Sifahamu kanuni za jeshi ya Polisi kama zinakataza ama kuruhusu kuoneshwa kwa sura za waalifu,hivyo mwenye ujuzi wa jambo hii tafadhali anielimishe.
Asante Sana na Nawasilisha.
[HASHTAG]#mckonjetv[/HASHTAG]