GE2025 Polisi: Hatujapokea barua ya ACT kuhusu Watia Nia wa Ubunge na Udiwani kutakiwa kutoa taarifa zao kwa Jeshi la Polisi

GE2025 Polisi: Hatujapokea barua ya ACT kuhusu Watia Nia wa Ubunge na Udiwani kutakiwa kutoa taarifa zao kwa Jeshi la Polisi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,499
Jeshi la Polisi lingependa kutoa ufafanuzi kuhusu madai ya Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo kwamba wamemwandikia barua Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini kutokana na madai ya Viongozi wao kuwa wametakiwa kuwasilisha taarifa na majina ya watia nia ya kugombea ubunge na udiwani kwa Jeshi la Polisi.

Barua hiyo haijamfikia Mkuu wa Jeshi la Polisi na endapo itamfikia maudhui yake yatafanyiwa kazi kwa haraka ili kupata ukweli wake na mawasiliano hayo yametoka wapi na yametolewa na nani.

1752154448320.png
Soma > Ado Shaibu anatoa msimamo wa ACT, leo Julai 10, 2025
 
Inahitaji akili ya mwendawazimu kuliamini jeshi la polisi. Hawa wanachoweze ni kuteka, kupiiga, kutesa, kufira na kuua wapinzani.
 
Back
Top Bottom