Polisi Dar, yawahoji kundi la Orijino Komedi, walazwa Kolokoloni

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
FB_IMG_1471446015890.jpg

Jeshi la Polisi limewahoji wachekeshaji wa Orijino Komedi kwa kosa la kuvaa nguo zinazoshabihiana na sare za Polisi.

Jeshi la Polisi Dar leo limewahoji wasanii wa Orijino Komedi makosa ya kuvaa sare za polisi kwenye harusi ya msanii mwenzao Emanuel Mgaya “Masanja”.

Wasanii hao, Lucas Muhuvile maarufu Joti, Alex John “Mac Reagan” na Isaya Gideon “Wakuvanga” wamehojiwa leo sambamba na meneja wa kundi hilo, Sekioni David.

Taarifa kutoka Jeshi la Polisi Dar zinaeleza kuwa wasanii hao walikamatwa tangu jana jioni na kulala kituo cha Polisi hadi walipohojiwa juu ya tukio hilo.
 
View attachment 383345
Jeshi la Polisi limewahoji wachekeshaji wa Orijino Komedi kwa kosa la kuvaa nguo zinazoshabihiana na sare za Polisi.

Jeshi la Polisi Dar leo limewahoji wasanii wa Orijino Komedi makosa ya kuvaa sare za polisi kwenye harusi ya msanii mwenzao Emanuel Mgaya “Masanja”.

Wasanii hao, Lucas Muhuvile maarufu Joti, Alex John “Mac Reagan” na Isaya Gideon “Wakuvanga” wamehojiwa leo sambamba na meneja wa kundi hilo, Sekioni David.

Taarifa kutoka Jeshi la Polisi Dar zinaeleza kuwa wasanii hao walikamatwa tangu jana jioni na kulala kituo cha Polisi hadi walipohojiwa juu ya tukio hilo.
Pathetic.
Jeshi la polisi hovyo kabisa. Kosa gani ambalo watu hawa wamefanya. Jeshi la polisi tumieni weledi. mbona mnashindwa kuwakamata wanaotorosha nyara za serikali na majambazi au mafisadi? Nguo zinazoshabiana na uniform zenu ni vazi tu na hakuna sheria yoyote inayosema ni kosa mtu kuvaa nguo zinazoshabia rangi na uniform zenu. Bado jeshi la polisi linafanya kazi kwa misingi ya kikoloni kabisa. Kwani hao waigizaji walivaa hizo uniform na kwenda kufanya uharifu?
Watu wanavaa Vazi linaloshabihiana na vazi la kifalme au la kiongozi mkuu wa dini la kini hawakamatwi, sembuse hizo zinazoshabihiana na uniform zenu!! kwa mtindo huu itafika mahala mtakama watu wanavaa suti inayoshabihiana na suti ya Rais sasa. SIjawahi kuona katika ulimwengu huu jeshi la hovyo kama jeshi la polisi Tanzania. Bado mnaishi enzi za ujima??
 
Pathetic.
Jeshi la polisi hovyo kabisa. Kosa gani ambalo watu hawa wamefanya. Jeshi la polisi tumieni weledi. mbona mnashindwa kuwakamata wanaotorosha nyara za serikali na majambazi au mafisadi? Nguo zinazoshabiana na uniform zenu ni vazi tu na hakuna sheria yoyote inayosema ni kosa mtu kuvaa nguo zinazoshabia rangi na uniform zenu. Bado jeshi la polisi linafanya kazi kwa misingi ya kikoloni kabisa. Kwani hao waigizaji walivaa hizo uniform na kwenda kufanya uharifu?
Watu wanavaa Vazi linaloshabihiana na vazi la kifalme au la kiongozi mkuu wa dini la kini hawakamatwi, sembuse hizo zinazoshabihiana na uniform zenu!! kwa mtindo huu itafika mahala mtakama watu wanavaa suti inayoshabihiana na suti ya Rais sasa. SIjawahi kuona katika ulimwengu huu jeshi la hovyo kama jeshi la polisi Tanzania. Bado mnaishi enzi za ujima??

Ni muda wa kujenga TAIFA LETU hoja dhaifu kaisimulie ndani ya ukoo wako! Nonse!!!!
 
Pathetic.
Jeshi la polisi hovyo kabisa. Kosa gani ambalo watu hawa wamefanya. Jeshi la polisi tumieni weledi. mbona mnashindwa kuwakamata wanaotorosha nyara za serikali na majambazi au mafisadi? Nguo zinazoshabiana na uniform zenu ni vazi tu na hakuna sheria yoyote inayosema ni kosa mtu kuvaa nguo zinazoshabia rangi na uniform zenu. Bado jeshi la polisi linafanya kazi kwa misingi ya kikoloni kabisa. Kwani hao waigizaji walivaa hizo uniform na kwenda kufanya uharifu?
Watu wanavaa Vazi linaloshabihiana na vazi la kifalme au la kiongozi mkuu wa dini la kini hawakamatwi, sembuse hizo zinazoshabihiana na uniform zenu!! kwa mtindo huu itafika mahala mtakama watu wanavaa suti inayoshabihiana na suti ya Rais sasa. SIjawahi kuona katika ulimwengu huu jeshi la hovyo kama jeshi la polisi Tanzania. Bado mnaishi enzi za ujima??
usi ongee kishabiki wewe bila kushirikisha akili....angalia hiyo mikanda viunoni mwao ni typical Tz police belt, hiyo ni kosa kisheria kubali kataa kuvaa/kumiliki nguo za askar wa Tanzania bila kibali maalumu ni kosa kisheria....msizoee kufanta mambo kiholela...
 
Back
Top Bottom