contagious
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 528
- 344
Amen.waambie hata USA kuvaa mavazi ya kijeshi kwa ajili ya filamu ni kibali
hata Nchi yoyote unayotumia magari au vifaa vya kijeshi kwa kuchezea filamu au tamthiliya ni kwa kibali maalum.
Huwezi vaa nguo hizo km ww si mhusika eti ukatolee mahari au ukamkamate mgoni wako halafu utarudisha,
nimeamini kweli kina Joti na Masanja ELIMU ELIMU elimu hakuna