LENGIO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 1,096
- 508
Mimi nashangaa jmajuzi msafa mrefu ukiongozwa na landrover ya polisi kuzuia magari imewasha taa zote nikadhani waziri au makamu wa rais .kumbe mchungaji kwa jina jo dave .nabii .kisa kupewa chochote .nashangaa mkuu wa mkoa anatembea peke yake na dereva .misafara ya nini