Binafsi kwasasa hata kama polisi atajikwaa akaanguka akafa mimi nitapashukru pale alipo jikwaaMsiongee tu hilo suala halijafafanuliwa kwamba kapigwa kwa kisasi au ni majambazi mie huwa siwezi kucomment kitu nisichokifahamu unaweza kuamka kesho ukakuta ni ishu tofauti embu subirini kamanda wa polisi au sehemu husika walielezee tukio hilo limetokeaje!!!sio vizuri kuanza tu kusifia wakati hujui cause ya tatizo ni nini si ajabu huyo askari hakuwa na kosa kabisa!yawezekana ameonewa!tusubiri taarifa za magazetini na redioni ila mtoa taarifa tunakushukutu sana kwa informations!
siamini mtu unafurahia binadamu mwingine kutoa roho ya mtu
walivyo ua ndungu zetu na hawakutaka hata kutuomba msamaha sana sana walipongezana na kuanza kupotosha jamii wakati wahusia hata hawakuwa kwenye maandamano ...ulitaka ni walilie baada ya wao kupigwa risasisiamini mtu unafurahia binadamu mwingine kutoa roho ya mtu
mhh watanzania tumefikia huku,pole yetu halafu majambazi yakituvamia tunataka msaada wa polis
Hala hala, kidole na macho jamani, naomba suala hili lisihusianishwe na siasa za arusha.Wana JF polisi mmoja akiwa katika uniform amepigwa risasi hadi kufa maeneo ya Arusha chini ya mti karibu na stand ya magari ya kwenda Kisongo, Kwamrombo.
Ilikuja gari aina ya RA4 ikiwa imewasha taa kisha baadhi ya magari yakapisha wakijua labda ilikuwa na dharura, lakini walipofika alipokuwa askari huyo alipokaa basi alishuka jamaa mmoja na kumpiga risasi kwa bastola kisha kuingia ndani ya gari na kutokomea kusikojulikana.
Hadi napost thread hakuna habari za kukamatwa kwa jamaa hao ambao haikujulikana walikuwa majambazi au walikuwa na visasi nae marehemu.
yakumbuke ya tarehe 5 jan 2011...walivyo kuwa wanahamasishana kurusha risasi kwa watanzania wenzao....Innalillah wainailaih rajiuun, INAHUZUNISHA NA KUSIKITISHA.
kwani walio uwawa arusha ktk maandamano ni majambazi?mhh watanzania tumefikia huku,pole yetu halafu majambazi yakituvamia tunataka msaada wa polis
Mh!mbona unashangilia binadamu mwenzio kufa!!Safi sana.....
samaki mmoja akioza wote wameoza,mbona huwa wanasomba watu hata kama huusikisijui man kwasababu mie naona kuwalaumu polisi wote si vyema wapo wachache ndio ambao wanakosa maadili man!!sema kwasababu watu bado mna hasira na mauaji ya Arusha ndio maana mnasema hivyo ila kwakweli amani ya Tanzania inapotezwa na jeshi la polisi sababu hawaheshimu haki za raia kweli inatia uchungu sana wamekua wababe sana kwa raia na ndio maana watu wanafurahi kweli kuna haja kubwa kwa serikali kulitazama hilo wasichukulie simple kuna siku tyatahamia kwa viongozi!
Kweli kabisa mkuu!!Hala hala, kidole na macho jamani, naomba suala hili lisihusianishwe na siasa za arusha.
Binafsi kwasasa hata kama polisi atajikwaa akaanguka akafa mimi nitapashukru pale alipo jikwaa