Wange muua tu maana huo mgodi haulipi hata cent moja kwa Watanzania eti hadi 2018 ndo watafikiria kulipa mrabaha na kodi! 2013 walipata mother of all Pink Diamond yenye thamani sawa na Madeni yote ya Taifa! Almasi hiyo imepelekwa kwa Malkia!!! Grrrr
mnaoshabiki polisi kuumizwa ni wajinga na pumbavu sana ingetokea jambazi kakuvamia usingepiga simu polisi? mbona kila siku mmepanga foleni vituoni mkihitaji msaada wao sometimes it better to think before you act in anything b'se at end it will be seen you are crazy.. .
pole sana askari ulikuwa unatekeleza wajibu wako wa kulinda usalama wa ndani ya nchi...
mnaoshabiki polisi kuumizwa ni wajinga na pumbavu sana ingetokea jambazi kakuvamia usingepiga simu polisi? mbona kila siku mmepanga foleni vituoni mkihitaji msaada wao sometimes it better to think before you act in anything b'se at end it will be seen you are crazy.. .
pole sana askari ulikuwa unatekeleza wajibu wako wa kulinda usalama wa ndani ya nchi...
Tena wewe ndo mpumbavu nambari moja! Kaa kimya kama huna cha kuongea.mnaoshabiki polisi kuumizwa ni wajinga na pumbavu sana ingetokea jambazi kakuvamia usingepiga simu polisi? mbona kila siku mmepanga foleni vituoni mkihitaji msaada wao sometimes it better to think before you act in anything b'se at end it will be seen you are crazy.. .
pole sana askari ulikuwa unatekeleza wajibu wako wa kulinda usalama wa ndani ya nchi...
hakuna mtu anayeshabikia polisi au mtu yeyote kupigwa...ukiona raia wanashabikia polisi kupigwa ujue pana uvundo hapo...polisi wengi sasa wamekuwa ni adui wa raia na usalama wao hata wanaitwa policccccmmmm....think twicemnaoshabiki polisi kuumizwa ni wajinga na pumbavu sana ingetokea jambazi kakuvamia usingepiga simu polisi? mbona kila siku mmepanga foleni vituoni mkihitaji msaada wao sometimes it better to think before you act in anything b'se at end it will be seen you are crazy.. .
pole sana askari ulikuwa unatekeleza wajibu wako wa kulinda usalama wa ndani ya nchi...