Jinga mkubwa! Police brutality Tanzania balaa hasa kisiwani.
Duh leo nitalala usingizi mororo maana hii habari imenifurahisha sana
Kombeo noma. Hii kitu imekaa kaa vipi? Meno sita kwa mpigo si mchezo.
Safi sana wabeshi mwabeja nhoi.
Wazungu ndio wachimbaji haramu alah...
Duh leo nitalala usingizi mororo maana hii habari imenifurahisha sana
Nawapigwe tu!
Tanzania watu wanamaasira na hii CCM. Sio mbali kabla ya hii nchi kulipuka kama iliyotokea Tunisia.
Nawapigwe tu!