gambi sosomb
Senior Member
- Sep 30, 2013
- 119
- 27
Tatizo la kutatua jambo kwa hisia lakini kama angeweza kutafakari wala asingeweza kujikosa na risasi kupiga kifuani badala ya kichwani.
Alishindwa kujilenga kichwani?
Upo sahihui kabisa.Kumbe watanzania mnawachukia ivo askari wenu! sikujua, maana naona hakuna hata mmoja anayetoa hata pole! Kama mlivyotoa pole kwa kina mangwear na wengine
Polisi FFU shinyanga amejipiga risasi kifuani sasa hivi yupo hospital ya mkoa shinyanga
Lazima atakua mchaga huyo