Polisi ajipiga Risasi sasa hivi

Polisi ajipiga Risasi sasa hivi

kwanini hakufa sasa au hana shabaha kama yule jamaa wa ufoo saro
 
Huyo lazima atakua mfuasi wa Zitto Kabwe. Alimuahidi endapo atakuwa Mwenyekiti CDM angempa ukatibu mkuu. Sasa dili limeyeyuka kaamua kujilipua.

Nilijua watatokea watu kama wewe kwenye chai wanaweka chumvi, ok! Tumekusikia
 
Acha siasa bunduki ina safety lock bhana

mkuu pamoja na bunduki kuwa na hiyo safety lock(usalama) lkn ajali za bunduki kufyatuka na kujeruhi/kuua zimeripotiwa mara nyingi
hii ni kutokana na askari wetu wengi kufanya kazi kwa mazoea ukitaka kudhibitisha hilo nenda polisi HQ watakupa takwimu.
 
Back
Top Bottom