mkuu pamoja na bunduki kuwa na hiyo safety lock(usalama) lkn ajali za bunduki kufyatuka na kujeruhi/kuua zimeripotiwa mara nyingi
hii ni kutokana na askari wetu wengi kufanya kazi kwa mazoea ukitaka kudhibitisha hilo nenda polisi HQ watakupa takwimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.