hebu endelea kusubiria watatoa habari.mbona una haraka ina maana huna kazi nyengine..?Mamb vp wana jamii forum jaman tunachoomba mwenye info zozote atujulishe maana hawa jamaa website yao haipatikan na wala hakuna info zozote kuhusiana na hii mishe plz mpenda maendeleo yeyote mwenye info na plz atujuze tunakuomben utujuze
Fomu foo watatuita lini jamani?
Mamb vp wana jamii forum jaman tunachoomba mwenye info zozote atujulishe maana hawa jamaa website yao haipatikan na wala hakuna info zozote kuhusiana na hii mishe plz mpenda maendeleo yeyote mwenye info na plz atujuze tunakuomben utujuze
wewe upo dunia hii kweli form 4, 6 na JKT wote mbona usili ulisha isha na matokeo yashatoka mda sana na mwezi ujoa ndhani tarehe kumi 11 wanaenda kambini. ila ka graduate taarifa niliyonayo kwa sasa ni kwamba watatoa majina mda si mrefu msubili hii ni baada ya kuwapigia simu na kuwauliza.
over!!
Tuwekee majina mkuu wengine tupo mbali