Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta anasoma Biblia nikajisikia fahari kuona anasoma neno kituo cha Polisi. Nikamuukiza Afande ni Nani alimuua Goliathi? Akasema Muulize Afande Mwita mlango namba 2 ndo anausika na Kesi za Mauaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app