moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
```Nimefika hapa kituo cha Polisi Kirumba nikafarijika sana baada ya kumkuta Askari Polisi hapa kaunta anasoma Biblia, nikajisikia fahari kuona anasoma neno la Mungu kituo cha Polisi. Nikamuuliza Afande "Ni nani alimuua Goliathi"? Akanijibu "Muulize Afande Mwita mlango namba 2 ndo anausika na Kesi za Mauaji"```🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app