RUV ACTVIST.
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 472
- 110
Mi nadhani police nao wamechoshwa na utendaji wa serikali yetu,haya mauaji wanayofanya ni ishara wanajitahidi kuonyesha kwa Raia ili wachukue hatua haraka ya kuiondoa serikali madarakani.
Police hawapaswi kugoma, hawana njia ya kufikisha ujumbe kwa serikali, wafanyeje? wameona wafikishe ujumbe kwa wananchi ili mwasaidie kufanya maamuzi.
Unadhani ni nini sasa? police hawajui hii nchi ni ya vyama vingi? kwa nini wanashusha bendera za CHADEMA? ili wananchi wakasilike, waichukie serikali wafanye maamuzi sahihi haraka.
Police hawapaswi kugoma, hawana njia ya kufikisha ujumbe kwa serikali, wafanyeje? wameona wafikishe ujumbe kwa wananchi ili mwasaidie kufanya maamuzi.
Unadhani ni nini sasa? police hawajui hii nchi ni ya vyama vingi? kwa nini wanashusha bendera za CHADEMA? ili wananchi wakasilike, waichukie serikali wafanye maamuzi sahihi haraka.