JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,519
- 7,556
Ndugu yangu ametoka shimoni (mahabusu) muda si mrefu.
Cha ajabu kuna watu nilikuwa siwaoni mtaani na ikawa inasemwa wamekamatwa na wako shimoni. Yaani hawajapelekwa mahakamani tangu wakamatwe.
Mmoja wa Ndugu hao anaitwa Paskali( sio Mayalla). Ingekuwa ana kesi na amekosa dhamana mahakamani wala sio tatizo lakini miezi zaidi ya miwili yupo huko na hakuna kupelekwa mahakamani.
Huu ni ukatili uliopitiliza.
Cha ajabu kuna watu nilikuwa siwaoni mtaani na ikawa inasemwa wamekamatwa na wako shimoni. Yaani hawajapelekwa mahakamani tangu wakamatwe.
Mmoja wa Ndugu hao anaitwa Paskali( sio Mayalla). Ingekuwa ana kesi na amekosa dhamana mahakamani wala sio tatizo lakini miezi zaidi ya miwili yupo huko na hakuna kupelekwa mahakamani.
Huu ni ukatili uliopitiliza.