ChescoMatunda
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,232
- 442
Kweli karne hii Bado binadamu tunafanyiana haya utadhani enzi ya utumwa kumbe waafrika wenyewe tunaumizana na kuuana kama punda ndio tunaita nchi ya amani sisiemu wauaji wakubwa kabisa..
Sasa hapa ulitaka kusema nini mkuu?
Ndugu Tumaini Makeni!! Usiweke chumvi katika kidonda ambacho kingali kibichi ,Hivi Unajisahaulisha kwa makusudi au ni kwa bahati mabaya ?matokeo hayo ni madogo sana ukilinganisha na yale yaliyobarikiwa na Rais Benjaman Mkapa alipoamrisha mauwaji ya raia kule Zenj na kutamka bila huruma kwa kusema hata kama kuna uwezekano wa kuliwa nyamazao zao basi zilewe , wanajeshi hao hao ndiwo walipewa hiyo amri na kukamilisha magizo ya Rais mkapa ,baada ya kufanya mauwaji na Ubakaji walipandishwa Vyeo kwa mbwebwe na Rais mkapa ,haikumalizikia hapo kuna baadhi ya Ndugu zetu kutoka Tanganyika iliwauma sana lakini pia kuna wale ambao udugu wao ni wa kitu na sio wa utu walifurahishwa sana na magizo ya Rais mkapa kwa jeshi zidi ya wananchi wa Zenj ,hatutasahau hilo Rais mkapa alikumbuke tumepoteza baba zetu wajomba zetu ,kuna wanawake hadi leo ni wajane na watoto ni yatima mkumbusheni Mpaka (mtaka Unda haneni)
Vipi ingekuwa ni wewe au mzazi wako ungeyasema haya????? Au kwa wengine ni sawa maumivu ambayo wameyapata watu si ya kuyasema ukiona mtu anaunga mkono anafikiri siku moja hayatampata. Ukiyaona kwa mwenzio kemea ukifikiri ni kwa wengine tu subiri siku yako
Nani aliruhusu jeshi kufanya operesheni ya kiraia? Je Jeshi la Wananchi liliamuriwa kwenda kupambana na wananchi? Je Jeshi linaweza kuingia kwenye operesheni au vitani bila maagizo ya Amri Jeshi Mkuu? Je ni kweli vijana waliokwenda kwenye operesheni hawakuwa wamelipwa fedha zao (walikopwa?), wakawa na hasira?
Je ni kweli wamekuwa na manung'uniko mengi hivyo wakaamua kumalizia hasira zao kwa wananchi? Je ni kweli kwamba hakukuwa na mkakati wowote wa ku-manage hili suala, hivyo lilifanywa kwa kukurupuka?
Kuna maswali mengi mnastahili kuwajibu Watanzania kabla hamjatumia kisingizo chochote kile kuhalalisha mauaji na unyama huu.
ina sikitisha sana kuna wengine Wame lazimishwa kufanya mapenzi na watoto wao bila kujali jinsia, hii ime tokea vijiji vya kata ya KISAKI..
Mhe. Hebu angalia hii na itasaidia wanasiasa wetu (BOFYA) kuanzia kwako MKUU
Like Sabibo Camp like Operesheni Tokomeza. Na hii ni just a drop of ice berg...unaweza kupata wakati mgumu kujiuliza kwa nini hadi sasa serikali haijawajibika kikamilifu katika unyama huu waliofanyiwa Watanzania.
Hivi unaweza kujiuliza kwenye hizo kambi vingapi hatujavijua vilifanyika? Kama hadi sasa, kwa mujibu wa Tundu Lissu akihutubia mkutano wa Shelui na Gervas Mbasa akihutubia Nanga, wapo watu tena akina mama walipigwa misumari ya nchi sita masikioni, wanaume walilazimishwa kufanya mapenzi na miti hadi wamalize haja zao, wengine wakatiwa chupa na misumari sehemu za siri. OMG! Mangapi hatuyajui!
Shameful condition...but they should know exactly, no condition is permanent (The State of Africa; A History of Fifty Years of Independence [Martin Meredith].
Wacheni fitna, hayo si mazoezi tu hata mgambo wanafanya. Watu mmekaa kupiga siasa lakini hamna nia ya kufanikisha chochote zaidi ya kutafuta madaraka. Kila siku kusifia rwanda mnadhani kagame amekalia kupiga siasa? Kama tumesema ni operation maaluum sasa mlifikiri nini kinafanyika ili kubaini mtandao wa majangili.
Ni kama nchi isiyokuwa na central Government!
Yaani wewe acha,watu waliteseka sana!Mara nyingi watoto wakimlilia baba yao kwamba mama wa kambo anawatesa hawezi amini kwa sababu mara nyingi baba anazurura kwenye vilabu vya pombe hashindi nyumbani na watoto akajua wanaishije