Hao akina Mkapa & co wakihamia chadema watakuwa sio ccm tena na akili yao haitakuwa na upuuuuzi wa chama tawala mfu. Ni sawa na kuhama dini unakuwa na imani mpya ya zamani tupa kule. Hata Kenyatta alikulia KANU chama katili dhidi ya upinzani, kahama huko Kanu yupo poa na wala hazuii freedom of speech kama vile ilivyokuwa kwa lichama alilokulia.Nchi nzima imeoza... sio chama.. kila mtu sio honest Tanzania.
na ukiongelea chama leo hii akina Chenge na JK na Mkapa wakihamia CHADEMA tutawaita watakatifu.
Suala ni kukuza utaifa, kuhimarisha vyama vya upinzani ili viwe changamoto kwa CCM na ikibidi yes kuitoa CCM madarakani.
Polepole anaona kila mtu ana akili Za ki bashite au kiccm. Kwanini RAIS hakuwaekea mtego Ili wakamatwe tupate kuvunja mkataba kiurahisi. Nahisi taratibu polepole anaanza kurithi akili Za bashite.Hazijui billioni 300 ni kiasi gani. Analeta siasa kwenye jambo muhimu
Subiri uchunguzi ufanyike kwqnza, taarifa yenyewe umepata Leo tu, Tena aliyetoa sio vyombo vya dola vyenye mamlaka. Pole pole ni mwanasiasa tu hanamamlaka kisheria ya kukuambia ni nani na amekamatwa au laHao waliotaka kumpa hongo wamekamatwa?
Labda walipatana jamaa wakaishia kwenye bil300 huku mkuu amitaka zaidiSasa wamejuaje kama wanataka kuhongwa billion 300CCM imegeuka kundi la ze comedy walahi
This story is fishy nan huyo mwenye ujasiri WA kumhonga MAGU?
Polepole kijana wangu,usilibebe hili jambo "kisiasa" zaidi.Hili jambo tuende nalo "kiuweledi" zaidi,ili huko mbele ya safari tusije tukapoteza na kumpotezea Rais wetu heshima kimataifa.Kila mtu anamuunga mkono Mh.Rais,wengi wanachotofautina naye labda ni "Approach" ya suala hili.
Ndio maana Tundu Lisu kasema tujitoe kwanza huko kwenye "MIGA" ndio tuanze "harakati" za kudai "mapanki" yetu ya dhahabu.Kama hatutakuwa tumejitoa,basi hao "mababeru" lazima watuadabishe,sbb tutakuwa tumevunja mikataba ambayo sisi wenyewe,kwa utashi na akili zetu timamu,tuliikubali na kuanguka saini.
Tukishamaliza huko,tuje tujitoe kwenye hizi "Bilateral Treaties" ambazo tuliingia kwa "mbwembwe" na USA,Canada na UK.Tukimaliza hapo,tuje kwenye bunge letu na tupeleke mswaada kwa hati ya dharura ili kufanya marekesbisho ya sheria ya Uwekezaji ya mwaka 1997 na sheria ya Misamaha ya Kodi za madini ya 1998 na ile Sheria ya Madini ya 2010 iliyoletwa Bungeni sbb ya "Buzwagi Saga-2007"
Vinginevyo,tutabaki kupiga kelele na kujazana upepo tu.
Mkuu yote hayo uliyoeleza wanayajua vema.tatizo ni kiki tuu zinazo tafutwa.Polepole kijana wangu,usilibebe hili jambo "kisiasa" zaidi.Hili jambo tuende nalo "kiuweledi" zaidi,ili huko mbele ya safari tusije tukapoteza na kumpotezea Rais wetu heshima kimataifa.Kila mtu anamuunga mkono Mh.Rais,wengi wanachotofautina naye labda ni "Approach" ya suala hili.
Ndio maana Tundu Lisu kasema tujitoe kwanza huko kwenye "MIGA" ndio tuanze "harakati" za kudai "mapanki" yetu ya dhahabu.Kama hatutakuwa tumejitoa,basi hao "mababeru" lazima watuadabishe,sbb tutakuwa tumevunja mikataba ambayo sisi wenyewe,kwa utashi na akili zetu timamu,tuliikubali na kuanguka saini.
Tukishamaliza huko,tuje tujitoe kwenye hizi "Bilateral Treaties" ambazo tuliingia kwa "mbwembwe" na USA,Canada na UK.Tukimaliza hapo,tuje kwenye bunge letu na tupeleke mswaada kwa hati ya dharura ili kufanya marekesbisho ya sheria ya Uwekezaji ya mwaka 1997 na sheria ya Misamaha ya Kodi za madini ya 1998 na ile Sheria ya Madini ya 2010 iliyoletwa Bungeni sbb ya "Buzwagi Saga-2007"
Vinginevyo,tutabaki kupiga kelele na kujazana upepo tu.
Mkuu na wanavyoongea utadhani ccm ni chama ambacho ndo kwanza kinaanza kutawalaSiasa zamaji taka mikataba waliingia wenyewe ccm leo. Wanakosoa tena wenyewe.
mafisadi hayana soni kabisa kwenye kushibisha matumbo yao.