Polepole: Walitaka kumhonga Rais Magufuli Sh. Bilioni 300 ili asifanyie kazi taarifa ya mchanga

Pole pole bwana kazi ipo pale yule ndio kiongozi wa chama hana uwezo wa kufikiri hata chembe Mungu atusaidie na ndio hao walinzi na watia saini ya mikataba yetu ya madini..
 
Tusiwe waumini wa Lisu.. thats another wrong syndrome. Ukiondoa mkataba mbaya bado kuna makosa ma2 ya wazi.....
Mfano suala la madini mengine yasiyojulikana kusafirishwa bila kutuambia ni kosa la wazungu ambalo halina uhusiano na mkataba.
Kuna mahali wewe ni smarter than Lisu mkuu
Unapotofautiana na Mimi ni kuindoa CCM na huu uozo. Lazima tukubali CCM ndio chanzo cha madudu haya. Hasa wabunge wa CCM. Lissu sina tatizo nae namuelewa sana ana hoja za msingi.
 
Tusiwe waumini wa Lisu.. thats another wrong syndrome. Ukiondoa mkataba mbaya bado kuna makosa ma2 ya wazi.....
Mfano suala la madini mengine yasiyojulikana kusafirishwa bila kutuambia ni kosa la wazungu ambalo halina uhusiano na mkataba.
Kuna mahali wewe ni smarter than Lisu mkuu
Mkuu wazungu mmewashirikisha kwenye utafiti wa sampuli za madini hayo? Kwanini unataka tuamini ripoti ya upande mmoja. Nooo acacia wamedai tume huru ya uchunguzi tuiombe serikali ya Magufuli ikubali. Ili tuujue ukweli.
 
Unapotofautiana na Mimi ni kuindoa CCM na huu uozo. Lazima tukubali CCM ndio chanzo cha madudu haya. Hasa wabunge wa CCM. Lissu sina tatizo nae namuelewa sana ana hoja za msingi.
Nchi nzima imeoza... sio chama.. kila mtu sio honest Tanzania.
na ukiongelea chama leo hii akina Chenge na JK na Mkapa wakihamia CHADEMA tutawaita watakatifu.
Suala ni kukuza utaifa, kuhimarisha vyama vya upinzani ili viwe changamoto kwa CCM na ikibidi yes kuitoa CCM madarakani.
 
Mkuu wazungu mmewashirikisha kwenye utafiti wa sampuli za madini hayo? Kwanini unataka tuamini ripoti ya upande mmoja. Nooo acacia wamedai tume huru ya uchunguzi tuiombe serikali ya Magufuli ikubali. Ili tuujue ukweli.
I stand as a supplier tafiti zetu ni za kweli na wao wazungu wasimame kama buyers wafanye tafiti zao.
Jiulize wewe unasimama wapi? Upande wao na kuamini sisi WATANZANIA the suppliers tafiti zetu za uwongo.
Something is wrong somewhere.. wapi unasimama?
 
Nchi nzima imeoza... sio chama.. kila mtu sio honest Tanzania.
na ukiongelea chama leo hii akina Chenge na JK na Mkapa wakihamia CHADEMA tutawaita watakatifu.
Suala ni kukuza utaifa, kuhimarisha vyama vya upinzani ili viwe changamoto kwa CCM na ikibidi yes kuitoa CCM madarakani.
Hapa tunawazungumzia tuliowapa dhamana ya kuongoza nchi na kusimamia rasilimali za summa. Kuwahusisha chadema ni kuwaonea hawajawahi kuamua kuhusu madini wapewe nani wala gesi achukue nani.kwanza CCM wanaowaona kama maadui.
Tusubiri watakapopewa dhamana na kufanya madudu tutawawajibisha.

CCM outtttt
 
Mkuu wazungu mmewashirikisha kwenye utafiti wa sampuli za madini hayo? Kwanini unataka tuamini ripoti ya upande mmoja. Nooo acacia wamedai tume huru ya uchunguzi tuiombe serikali ya Magufuli ikubali. Ili tuujue ukweli.
Yes tume huru ni muhimu ila kama wachokoza mada/conflict ya maslahi tunaanza na kuhamini tume yetu kuwa tunaibiwa.
Kuna mahakama za kimataifa za kibiashara lazima tume huru iwepo
 
Hapa tunawazungumzia tuliowapa dhamana ya kuongoza nchi na kusimamia rasilimali za summa. Kuwahusisha chadema ni kuwaonea hawajawahi kuamua kuhusu madini wapewe nani wala gesi achukue nani.kwanza CCM wanaowaona kama maadui.
Tusubiri watakapopewa dhamana na kufanya madudu tutawawajibisha.

CCM outtttt
OK then work hard kuitoa CCM...
 
Wanani hao?? Hizo bil 300 walifunga kwenye sandarus au?? Walikutana wapi na Rais wakamwambia hayo???
 
I stand as a supplier tafiti zetu ni za kweli na wao wazungu wasimame kama buyers wafanye tafiti zao.
Jiulize wewe unasimama wapi? Upande wao na kuamini sisi WATANZANIA the suppliers tafiti zetu za uwongo.
Something is wrong somewhere.. wapi unasimama?
Nasimamia kwenye truthiness.
1. Wazungu wanafanya shughuli zao kwa mujibu wa makubaliano kati yao na serikali ya CCM
2. Ilihitajika tume huru ya kuchunguza sampuli za madini katika makinikia.
3. Serikali ya CCM inahitaji kuondolewa madarakani kwa sababu hawawezi kulaumu kwamba tunaibiwa wakati wasimamizi wa Mali ya umma ni wao wenyewe.
4. Wananchi tutabebeshwa mzigo usiotuhusu kama tulivyobeba mzigo wa Dowans.
 
Anataka kutoa rushwa kwenye MAMLAKA za juu serikakini halafu hatajwi wala kusikia maandalizi ya kesi kumshitaki yamefikia wapi??!!!! Hili nalo tunangoja tume au?
SWALI: Tuelezeni mazingira ya hiyo rushwa yalikuwaje nasi tujue nguvu ya hao maadui wa Uchumi wetu
 
Yaani serikali inayojinasibu kupambana na rushwa inataka kuhongwa halafu muhongaji anaachwa?
Hapo ndipo panapotia shaka kubwa na kuhoji ukweli wa taarifa za wanasiasa. Kwangu haiingii akilini hata kidogo. Amethubutu kulifanya hilo hadharani, ujasiri huohuo autangazie umma waliokusudia kumhonga, vinginevyo ni hadithi kama hadithi nyingine.
 
Duuh, Ingesemwa walitaka kumhonga Tundu Lissu billion 300 ili asipige kelele watu wangeaminu Tena kwa nguvu zote na matusi juu.Hawakumbuki hata Rais ni binadamu anaweza hongwa kama inavyosemwa Mkapa alihongwa Mgodi wa Bulyankulu kakola, Lakini kwakuwa ni Magufuli lazima mtaendelea kumtukana tu na kejeli za nguvu. Anyway, Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Ila kwakuwa Mungu ni wa wote, naamini ataendelea kumpigania na kumpa moyo zaidi kukataa hongo na kuokoa Mali za Watanzania
 
Haha aisee wacha nicheke! Mnajua kutuletea cinema nyiye ccm hamna mfano. Sasa tutathibitishaje? Yaani ww sizonje atake kupewa rushwa ya b 300 akae kimya? Haha, he kumbe rais naye huwa anasema walileta pesa nikakataa sasa kwa nini tuna takukuru? Kazi yake nini? Pelekeni ujinga na cinema zenu huko kwa wale mlio wanyima elimu!
Kama TAKUKURU ipo ofisi ya Rais na Watoa rushwa wanataka kutoa rushwa kwa Rais halafu hakuna taarifa juu ya kukamatwa watoa rushwa basi hii episode ni noma sana.
 
Back
Top Bottom