Akusemee wewe ukiwa wapi?1. Bei ya bundle ni kubwa kuliko Cuba? Maana wanyonge tunateseka kimya kimya hakuna pa kusemea. wengine biashara zetu bila internet tutakufa njaa.
2. Internet ni huduma si biashara Born town mtandao ikiwa wanatufanyia michezo tujue.
Kama mnakumbuka, Kikwete alienda Vietnam akaleta wawekezaji Viatel (Halotel) wakashirikiana na serikali na kujenga mkongo wa taifa wa mawasiliano.1. Bei ya bundle ni kubwa kuliko Cuba? Maana wanyonge tunateseka kimya kimya hakuna pa kusemea. wengine biashara zetu bila internet tutakufa njaa.
2. Internet ni huduma si biashara Born town mtandao ikiwa wanatufanyia michezo tujue.
Kimwaga anajua alipoAtueleze pia yupo wapi Ben Saanane.
Chaimleta mada ni mmoja ya mizigo isiyonatija kwa Taifa.
Polepole ni katika waliohusika kuhakikisha bei ya Bando inapandishwa kwa kuwabambikia makodi ya juu makampuni ya simu ili tu waTZ wakose uwezo wakutumia Internet vizuri. hayo mambo yalifanyika wakati wa JIWE
Mbona Mwanaume Duli mwenzio anakula nchi wewe upo?Mwanaume mzima unalilia mtandaoni usemewe na mwanaume mwenzenu
Sina njaa hizo.. we unaekomaa unatiki october una RR ngapi?Mbona Mwanaume Duli mwenzio anakula nchi wewe upo?