Polepole: Rais aliniteua hadharani, nami barua yangu nimeiweka hadharani

Polepole: Rais aliniteua hadharani, nami barua yangu nimeiweka hadharani

Na baada ya kuteuliwa ubalozi alisomeshwa kwanza kwenye chuo cha diplomasia, ajabu hakutuambia alifunzwa nini hapo chuoni.
 
Humphrey Polepole akimjibu mmoja wa waandishi wa habari kuhusu kutoa barua ya kujiuzulu, amejibu kuwa Rais Samia alimteua hadharani na kila mmoja akaona, kwanini yeye asijibu hadharani.
Kwani polepole kabila Gani mbona mbishi sana huyu baba
 
Back
Top Bottom