Polepole ni mwana siasa wa uongo kupitia kiasi

Polepole ni mwana siasa wa uongo kupitia kiasi

toto2000

Member
Joined
Aug 24, 2025
Posts
24
Reaction score
7
Hii aina ya siasa anayofanya polepole ndio aina ya wanasiasa wengi Tanzania ambao hawana malengo wanatumia majina yao kuwashawishi na kuwadanganya WANANCHI kuwaminisha kuhusiani na gharama za nishati na wanaamini kwamba WANANCHI hawawezi kutafuta uthibitisho wowote juu ya propaganda zao
 
Jibu hoja mojamoja za Polepole tuone unachotaka kuongea
1.Wahuni kwenye chama
2.Mauaji ya Mwendazake
3.Wizi wa fedha za Covid
4.Kukwama kwa miradi nk

Katika hayo machache chagua unataka kutoa majibu kwenye lipi?sio kuleta setensi za darasa la pili ndio useme tujadili hapa
 
Hii aina ya siasa anayofanya polepole ndio aina ya wanasiasa wengi Tanzania ambao hawana malengo wanatumia majina yao kuwashawiahi na kuwadanganya WANANCHI kuwaminisha kuhusiani na gharama za nishati na wanaamini kwamba WANANCHI hawawezi kutafuta uthibitisho wowote juu ya propaganda zao
Yaani hapa ndio Tayari umemjibu Polepole au tuendelee kukusubiri?
 
Hii aina ya siasa anayofanya polepole ndio aina ya wanasiasa wengi Tanzania ambao hawana malengo wanatumia majina yao kuwashawiahi na kuwadanganya WANANCHI kuwaminisha kuhusiani na gharama za nishati na wanaamini kwamba WANANCHI hawawezi kutafuta uthibitisho wowote juu ya propaganda zao

Kaeni kwa kutulia j5 mtapoteana!
 
Hii aina ya siasa anayofanya polepole ndio aina ya wanasiasa wengi Tanzania ambao hawana malengo wanatumia majina yao kuwashawiahi na kuwadanganya WANANCHI kuwaminisha kuhusiani na gharama za nishati na wanaamini kwamba WANANCHI hawawezi kutafuta uthibitisho wowote juu ya propaganda zao
Twambie ni wakina nani walimuua mzee kibao?
 
Hii aina ya siasa anayofanya polepole ndio aina ya wanasiasa wengi Tanzania ambao hawana malengo wanatumia majina yao kuwashawiahi na kuwadanganya WANANCHI kuwaminisha kuhusiani na gharama za nishati na wanaamini kwamba WANANCHI hawawezi kutafuta uthibitisho wowote juu ya propaganda zao
Wananchi wengi hawana matumaini. Polepole anawauzia matumaini japo ana matumaini fake ndio maana anaonekana ni mkombozi.
 
Jibu hoja mojamoja za Polepole tuone unachotaka kuongea
1.Wahuni kwenye chama
2.Mauaji ya Mwendazake
3.Wizi wa fedha za Covid
4.Kukwama kwa miradi nk

Katika hayo machache chagua unataka kutoa majibu kwenye lipi?sio kuleta setensi za darasa la pili ndio useme tujadili hapa
Unayoyasema hayo unauthibitisho nayo ?
 
1983 nilifanya field pale Tume ya Bei nikagundua kuna Bei nyingine ni sawa na BURE kwa sababu ya Siasa ya Ujamaa
 
Hii aina ya siasa anayofanya polepole ndio aina ya wanasiasa wengi Tanzania ambao hawana malengo wanatumia majina yao kuwashawiahi na kuwadanganya WANANCHI kuwaminisha kuhusiani na gharama za nishati na wanaamini kwamba WANANCHI hawawezi kutafuta uthibitisho wowote juu ya propaganda zao



Kwamba taifa ges sio ya Rostam?

Au unataka kusema Kampuni ya Taifa Ges haijasambaza mitungi ya Ges?

Au hoja yako haswa hapa ni nini
 
Hii aina ya siasa anayofanya polepole ndio aina ya wanasiasa wengi Tanzania ambao hawana malengo wanatumia majina yao kuwashawiahi na kuwadanganya WANANCHI kuwaminisha kuhusiani na gharama za nishati na wanaamini kwamba WANANCHI hawawezi kutafuta uthibitisho wowote juu ya propaganda zao
Rostam syo mwixi?
 
Hii aina ya siasa anayofanya polepole ndio aina ya wanasiasa wengi Tanzania ambao hawana malengo wanatumia majina yao kuwashawiahi na kuwadanganya WANANCHI kuwaminisha kuhusiani na gharama za nishati na wanaamini kwamba WANANCHI hawawezi kutafuta uthibitisho wowote juu ya propaganda zao
Ye kaelezea kutokana na uzoefu wake wa kukaa huko Cuba
Na ameona!au na wewe ume Google mkuu

Ova
 
Hii aina ya siasa anayofanya polepole ndio aina ya wanasiasa wengi Tanzania ambao hawana malengo wanatumia majina yao kuwashawiahi na kuwadanganya WANANCHI kuwaminisha kuhusiani na gharama za nishati na wanaamini kwamba WANANCHI hawawezi kutafuta uthibitisho wowote juu ya propaganda zao
Huyo mjalaana unamjua
 

Attachments

  • Duh kiongozi kama huyu mchapa kazi kumpata tena ni mitano tena 🫣.mp4
    947.9 KB
  • AQNL9KwvgNwOGe3X7iWw35pDYtTgm3PmnnSAtZlH282vFEEJ_TPg63tAkGfJAtwjxiJiImeK_MRsNkKaZyISS6Q3J_m1zj...mp4
    1.1 MB
Hii aina ya siasa anayofanya polepole ndio aina ya wanasiasa wengi Tanzania ambao hawana malengo wanatumia majina yao kuwashawiahi na kuwadanganya WANANCHI kuwaminisha kuhusiani na gharama za nishati na wanaamini kwamba WANANCHI hawawezi kutafuta uthibitisho wowote juu ya propaganda zao
kumbe ni chawa umejiunga jana....takataka
 
Back
Top Bottom