Polepole na siasa za mwendokasi

Polepole na siasa za mwendokasi

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,125
Reaction score
6,141
Leo hii mimi au wewe tukaamua kumtukana Rais aliyeko madarakani, Mzee kikwete, na viongozi wengine ndani ya mda mfupi sana kila mtu atanijua au atakujua sababu ndo mambo baadhi ya watu wanapenda kusikia masikioni mwao na hizo ndo siasa mwendokasi ila mwisho wa siku utakua ume-achieve nini jibu ni sahii hakuna

Baada ya uchaguzi wa 2005, doctor slaa na zito kabwe akiwa kijana mdogo kabisa kuaminiwa na watu wa kigoma,.
Hawa watu wawili wanakitu ambacho kinafanana ni waumini wa siasa za mwendokasi unatafuta tuhuma unaileta kwenye public basi watu kwa hisia wanaumia na matokeo yake wanakussuport, na wananchi wakawa wanaamini labda kwa huo ukweli kutatokea mabadiliko.

Hii ndo njia iliyompa doctor slaa na zito kabwe umaarufu mkubwa sana kutokana na waliyokua wanayoongea ila swali likaja mbona hakuna kinachotokea yaani watuhumiwa hawachukuliwi hatua, na ni kama mafisadi wanabadilisha mbinu in-short hakuna kinachobadilika

Baadae tukagundua hata uwataje hadharani watapunguza tu speed ila hawataacha sababu mfumo ndo unawabeba nikimaanisha katiba, baada ya mda wananchi wakawa wanaona haina haja tena kuendelea kuwazingatia wakina doctor slaa na zito sababu hao wanaowatuhumu ni mafisadi wengine ndo kwanza vyeo wanapewa na kupanda.

Polepole kwa kujua au pasipo kujua anatumia mbinu ile-ile ya doctor slaa na zitto kabwe ya siasa za mwendokasi dhidi ya chama chake cha ccm

Ukweli ni kwamba ccm kamwe haiwezi tishiwa na kelele ni kama chura hawezi mzuia tembo kunywa maji

Simkatishi tamaa ila kama lengo lake ni kuishafisha ccm basi hio vita ni ngumu sana na inabidi aje na mbinu nyingine sio hii anayoitumia kwa sababu hii hii chadema walishaitumia miaka mingi sana kupitia doctors slaa, zitto na baadae Tundu lisu ila hawakafunikiwa, na mpaka leo ccm bado wanatawala hata-kama watu hawapendi namna wanavyotawala, point yangu huwezi tumia mbinu zilezile wenzako walizofeli na ukategemea matokeo tofauti
 
Rais umechukua fomu? Kama haupo kwenye ballot kura yangu ishaharibikia.
 
Leo hii mimi au wewe tukaamua kumtukana Rais aliyeko madarakani, Mzee kikwete, na viongozi wengine ndani ya mda mfupi sana kila mtu atanijua au atakujua sababu ndo mambo baadhi ya watu wanapenda kusikia masikioni mwao na hizo ndo siasa mwendokasi

Baada ya uchaguzi wa 2005, doctor slaa na zito kabwe akiwa kijana mdogo kabisa kuaminiwa na watu wa kigoma,.
Hawa watu wawili wanakitu ambacho kinafanana ni waumini wa siasa za mwendokasi unatafuta tuhuma unaileta kwenye public basi watu kwa hisia wanaumia na matokeo yake wanakussuport, na wananchi wakawa wanaamini labda kwa huo ukweli kutatokea mabadiliko.

Hii ndo njia iliyompa doctor slaa na zito kabwe umaarufu mkubwa sana kutokana na waliyokua wanayoongea ila swali likaja mbona hakuna kinachotokea yaani watuhumiwa hawachukuliwi hatua, na ni kama mafisadi wanabadilisha mbinu in-short hakuna kinachobadilika

Baadae tukagundua hata uwataje hadharani watapunguza tu speed ila hawataacha sababu mfumo ndo unawabeba nikimaanisha katiba, baada ya mda wananchi wakawa wanaona haina haja tena kuendelea kuwazingatia wakina doctor slaa na zito sababu hao wanaowatuhumu ni mafisadi wengine ndo kwanza vyeo wanapewa na kupanda.

Polepole kwa kujua au pasipo kujua anatumia mbinu ile-ile ya doctor slaa na zitto kabwe ya siasa za mwendokasi dhidi ya chama chake cha ccm

Ukweli ni kwamba ccm kamwe haiwezi tishiwa na kelele ni kama chura hawezi mzuia tembo kunywa maji

Simkatishi tamaa ila kama lengo lake ni kuishafisha ccm basi hio vita ni ngumu sana na inabidi aje na mbinu nyingine sio hii anayoitumia kwa sababu hii hii chadema walishaitumia miaka mingi sana kupitia doctors slaa, zitto na baadae Tundu lisu ila hawakafunikiwa, na mpaka leo ccm bado wanatawala hata-kama watu hawapendi namna wanavyotawala, point yangu huwezi tumia mbinu zilezile wenzako walizofeli na ukategemea matokeo tofauti
Dennis unaanza kupuyanga sasa
 
"kama watu hawapendi namna wanavyotawala, point yangu huwezi tumia mbinu zilezile wenzako walizofeli na ukategemea matokeo tofauti."[ Quote ]

Unamaanisha njia pekee ya kuondoa utawala uliopo madarakani ni mapinduzi ya kijeshi au umma wa watanzania kuingia barabarani?
 
Leo hii mimi au wewe tukaamua kumtukana Rais aliyeko madarakani, Mzee kikwete, na viongozi wengine ndani ya mda mfupi sana kila mtu atanijua au atakujua sababu ndo mambo baadhi ya watu wanapenda kusikia masikioni mwao na hizo ndo siasa mwendokasi

Baada ya uchaguzi wa 2005, doctor slaa na zito kabwe akiwa kijana mdogo kabisa kuaminiwa na watu wa kigoma,.
Hawa watu wawili wanakitu ambacho kinafanana ni waumini wa siasa za mwendokasi unatafuta tuhuma unaileta kwenye public basi watu kwa hisia wanaumia na matokeo yake wanakussuport, na wananchi wakawa wanaamini labda kwa huo ukweli kutatokea mabadiliko.

Hii ndo njia iliyompa doctor slaa na zito kabwe umaarufu mkubwa sana kutokana na waliyokua wanayoongea ila swali likaja mbona hakuna kinachotokea yaani watuhumiwa hawachukuliwi hatua, na ni kama mafisadi wanabadilisha mbinu in-short hakuna kinachobadilika

Baadae tukagundua hata uwataje hadharani watapunguza tu speed ila hawataacha sababu mfumo ndo unawabeba nikimaanisha katiba, baada ya mda wananchi wakawa wanaona haina haja tena kuendelea kuwazingatia wakina doctor slaa na zito sababu hao wanaowatuhumu ni mafisadi wengine ndo kwanza vyeo wanapewa na kupanda.

Polepole kwa kujua au pasipo kujua anatumia mbinu ile-ile ya doctor slaa na zitto kabwe ya siasa za mwendokasi dhidi ya chama chake cha ccm

Ukweli ni kwamba ccm kamwe haiwezi tishiwa na kelele ni kama chura hawezi mzuia tembo kunywa maji

Simkatishi tamaa ila kama lengo lake ni kuishafisha ccm basi hio vita ni ngumu sana na inabidi aje na mbinu nyingine sio hii anayoitumia kwa sababu hii hii chadema walishaitumia miaka mingi sana kupitia doctors slaa, zitto na baadae Tundu lisu ila hawakafunikiwa, na mpaka leo ccm bado wanatawala hata-kama watu hawapendi namna wanavyotawala, point yangu huwezi tumia mbinu zilezile wenzako walizofeli na ukategemea matokeo tofauti
Amesema bado Epsode 04 na kuendelea.
 
"kama watu hawapendi namna wanavyotawala, point yangu huwezi tumia mbinu zilezile wenzako walizofeli na ukategemea matokeo tofauti."[ Quote ]

Unamaanisha njia pekee ya kuondoa utawala uliopo madarakani ni mapinduzi ya kijeshi au umma wa watanzania kuingia barabarani?
Mimi sijasema mapinduzi ya kijeshi na siamini kwenye hiyo dhana
bali fahamu it doesn't reach the heart many
Bado wananchi hawajaguswa na hizo tuhuma anazozileta polepole recently
 
Leo hii mimi au wewe tukaamua kumtukana Rais aliyeko madarakani, Mzee kikwete, na viongozi wengine ndani ya mda mfupi sana kila mtu atanijua au atakujua sababu ndo mambo baadhi ya watu wanapenda kusikia masikioni mwao na hizo ndo siasa mwendokasi

Baada ya uchaguzi wa 2005, doctor slaa na zito kabwe akiwa kijana mdogo kabisa kuaminiwa na watu wa kigoma,.
Hawa watu wawili wanakitu ambacho kinafanana ni waumini wa siasa za mwendokasi unatafuta tuhuma unaileta kwenye public basi watu kwa hisia wanaumia na matokeo yake wanakussuport, na wananchi wakawa wanaamini labda kwa huo ukweli kutatokea mabadiliko.

Hii ndo njia iliyompa doctor slaa na zito kabwe umaarufu mkubwa sana kutokana na waliyokua wanayoongea ila swali likaja mbona hakuna kinachotokea yaani watuhumiwa hawachukuliwi hatua, na ni kama mafisadi wanabadilisha mbinu in-short hakuna kinachobadilika

Baadae tukagundua hata uwataje hadharani watapunguza tu speed ila hawataacha sababu mfumo ndo unawabeba nikimaanisha katiba, baada ya mda wananchi wakawa wanaona haina haja tena kuendelea kuwazingatia wakina doctor slaa na zito sababu hao wanaowatuhumu ni mafisadi wengine ndo kwanza vyeo wanapewa na kupanda.

Polepole kwa kujua au pasipo kujua anatumia mbinu ile-ile ya doctor slaa na zitto kabwe ya siasa za mwendokasi dhidi ya chama chake cha ccm

Ukweli ni kwamba ccm kamwe haiwezi tishiwa na kelele ni kama chura hawezi mzuia tembo kunywa maji

Simkatishi tamaa ila kama lengo lake ni kuishafisha ccm basi hio vita ni ngumu sana na inabidi aje na mbinu nyingine sio hii anayoitumia kwa sababu hii hii chadema walishaitumia miaka mingi sana kupitia doctors slaa, zitto na baadae Tundu lisu ila hawakafunikiwa, na mpaka leo ccm bado wanatawala hata-kama watu hawapendi namna wanavyotawala, point yangu huwezi tumia mbinu zilezile wenzako walizofeli na ukategemea matokeo tofauti
Polepole hajui au anafanya Wabongo ni mazuzu kwamba Mkuu wa Chama ndio huyo huyo ni Mkuu wa Nchi ambaye amekasimiwa madaraka makubwa kweli kweli na Katiba ya Nchi. 🙌 🤷🏾‍♂️ !

Kwahiyo Polepole mwache abwabwaje huku amejificha 🤣 !

Wenzie na pia uliowataja walikuwa wanabwabwaja kuliko yeye Polepole lakini wapiii. Hamuna kitu !! 😳 !
Hii yote Inatokea Mr Polepole anajua ni kwa sababu Mwenyekiti ana madaraka makubwa sana kuanzia Chamani mpaka huko Dolani kwenyewe 😳👍 !
Lakini komredi Polepole anaogopa kukubali hivyo 😀😄😂🤣🤣 !
Kalagabaho Komredi P.
 
Polepole hajui au anafanya Wabongo ni mazuzu kwamba Mkuu wa Chama ndio huyo huyo ni Mkuu wa Nchi ambaye amekasimiwa madaraka makubwa kweli kweli na Katiba ya Nchi. 🙌 🤷🏾‍♂️ !

Kwahiyo Polepole mwache abwabwaje huku amejificha 🤣 !

Wenzie na pia uliowataja walikuwa wanabwabwaja kuliko yeye Polepole lakini wapiii. Hamuna kitu !! 😳 !
Hii yote Inatokea Mr Polepole anajua ni kwa sababu Mwenyekiti ana madaraka makubwa sana kuanzia Chamani mpaka huko Dolani kwenyewe 😳👍 !
Lakini komredi Polepole anaogopa kukubali hivyo 😀😄😂🤣🤣 !
Kalagabaho Komredi P.
Mtaji mkubwa sana wa Watanzania ni wasahaulifu hiko anachofanya polepole chadema wameshakifanya sana sana ila katika watu wote waliotuhumiwa na chadema hakuna hata mmoja yuko gerezani au hata kupelekwa mahakamani
 
Mtaji mkubwa sana wa Watanzania ni wasahaulifu hiko anachofanya polepole chadema wameshakifanya sana sana ila katika watu wote waliotuhumiwa na chadema hakuna hata mmoja yuko gerezani au hata kupelekwa mahakamani
Jamaa ni zero Brain !
Eti mambo hayo anayo yalalamikia anajifanya hajui ni kwa sababu gani yanatokea na yatakuja kutokea hata zaidi ya hayo akipatikana mtu mwingine mkali mkali kidogo 😂 !

Kwa sababu hakuna chochote cha kumfunga spidi gavana 🤣🤣 !
Katiba haijavunjwa mahali popote pale 😳🤷🏿‍♂️ !
 
Back
Top Bottom