Polepole: Mshahara wangu CCM ni chini ya milioni moja

Polepole: Mshahara wangu CCM ni chini ya milioni moja

Pole pole mwogope mungu!
Kudanganya watu wazima kama watoto ni dhambi kubwa zaidi ya ufisadi wa Mali.
Hawa watu unaowaongopea wana watoto wana wake wanamaamuzi pia katika himaya zao!
Kudanganya watu wazima kama watoto ni dhambi kubwa zaidi ya ufisadi wa Mali?
 
Ujinga...ujinga, na wajinga wataamini, namtukana kimoyomoyo tu hapa
 
UZALENDO KWA NCHI YAKE NDIO MAANA AMEKUBALI KUACHA UKUU WA WILAYA NA KWENDA KULITUMIKIA TAIFA KUPITIA UENEZI NA ITIKADI NDANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI KILICHOUNDA SERIKALI ILIYOUNDA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA
Uzalendo upi huo. Ukweli ni kwamba uenezi una maslahi kuliko ukuu wa wilaya.
 
UZALENDO KWA NCHI YAKE NDIO MAANA AMEKUBALI KUACHA UKUU WA WILAYA NA KWENDA KULITUMIKIA TAIFA KUPITIA UENEZI NA ITIKADI NDANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI KILICHOUNDA SERIKALI ILIYOUNDA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA
Huna akili panya wew


Huna akili panya
 
Kwani nani kakwambia katiba mpya ndio uzalendo. Kua na serikali tatu ndio uzalendo? Wee inabidi kwanza upate darasa nini maana ya uzalendo.
Hata kupuuza wengine kwa sababu siyo wa upande wako siyo uzalendo, sisi sote ni watanzania! hata kama tunatofautiana mawazo kwanza hiyo ndiyo inakupa wewe kujishughurisha! kwa hiyo tuvumiiane tujenge hoja kama wao wanavyojenga hoja kwa yale wanayoyaona upande huu!
 
Uyu polepole ndiye alie kua akipinga uku wa wilaya na mikoa mbona alipo teuliwa hakukataa kuonyesha uzalendo
 
Mtumiage akili kila MTU ana ndoto zake MTU kufikia ndoto zake midomo mingi kwan na nyie c Luna vitu vinawaingazia mshiko nan anahoji
 
Usanii mbaya sana mwanamume anaweza kuzaa nguo za kike na kuonekana Demu kabisa. Wee Acha tu
 
BwahahahajahahahajahajajaJ.... Polepole anakula polepole bila kuumiza kipofu..... Hata mimi mshahara wangu ni chini ya laki nane kwa mwezi lakini mwisho wa mwezi ukifika naingiziwa milioni tatu kwa akaunti!!!
 
Back
Top Bottom