Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,777
Mpinzani wa CCM wa kweli, ukiacha wakati wanakichakachua ni chama hiki cha CHADEMA, wafanye watakavyoweza viongozi waruhusiwe, wafanye kazi ni haki yao.
Kiongozi wao yuko jela, unakuwaje na amani kwenda kwenye uchaguzi wakati mpinzani wako na kiongozi wake kuu Bw. Tundu Lissu yupo jela. Hii haikubaliki na inaleta taswira mbaya sana kwa chama cha mapinduzi. -Humphrey Polepole
Kiongozi wao yuko jela, unakuwaje na amani kwenda kwenye uchaguzi wakati mpinzani wako na kiongozi wake kuu Bw. Tundu Lissu yupo jela. Hii haikubaliki na inaleta taswira mbaya sana kwa chama cha mapinduzi. -Humphrey Polepole