Dr Adam Francis
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 464
- 687
Kwa wehenga wenzangu tuliohitimu kidato cha nne miaka ya 2000 mtaikumbuka riwaya ya Things fall apart ya Chinua Achebe. Hii ilikuwa ni riwaya ya kiada katika somo la English Literature kwaajili ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne. Kutoka katika riwaya hii nitanukuu maongezi ya wahusika wakuu wawili kuhusu fikra zao kuwakabili wakoloni kujenga hoja yangu.
Okonkwo:"Then let us fight them. Let us drive them out of our land."
Obierika:"It is already too late," said Obierika sadly. Our own men and sons have joined the ranks of the stranger. They have joined his religion and they help to uphold his government. If we should try to drive out the white men, we would have to fight our own brothers."
Katika riwaya hii itakumbukwa msimamo mkali na hatua kali alizozichukua Okonkwo, sio tu hazikufanikiwa, bali zilimgharimu maisha yake. Obierika alihitimisha riwaya hii kwa kumuelezea Okonkwo kuwa “That man was one of the greatest men in Umuofia. You drove him to kill himself; and now he will be buried like a dog”
Siku si nyingi niliandika makala kusema "Uteuzi wa Samia kuwa mgombea wa CCM, ni Res judicata kwa sasa" nikiwa na maana ya kisheria kuwa limehitimishwa!
Katika vyama 19 vilivyo sajiliwa, vyama 18, aidha vimeshakamilisha uteuzi wa wagombea au vipo kwenye hatua mbalimbali za kufanya hivyo. Nani sasa unadhani ataunga mkono agenda yako kama sio CHADEMA peke yao wanaoendelea na No reforms, No election?
Ukweli ni kuwa, October 29, 2025 uchaguzi utafanyika, Rais Samia atashinda na kutangazwa, na CCM watajizolea majimbo yote na viti vyote vya udiwani kupitia wanachama wao zaidi ya milioni 13 watakaopiga kura. Kwa mtazamo huu narejea ushauri uliotolewa na Obierika kwa Okonkwo: "If I were you, I would have stayed at home. What you have done will not please the earth"
SAMIA'S NOMINATION IS RES JUDICATA BY NOW
View: https://vm.tiktok.com/ZMA1PwNjT/
Okonkwo:"Then let us fight them. Let us drive them out of our land."
Obierika:"It is already too late," said Obierika sadly. Our own men and sons have joined the ranks of the stranger. They have joined his religion and they help to uphold his government. If we should try to drive out the white men, we would have to fight our own brothers."
Katika riwaya hii itakumbukwa msimamo mkali na hatua kali alizozichukua Okonkwo, sio tu hazikufanikiwa, bali zilimgharimu maisha yake. Obierika alihitimisha riwaya hii kwa kumuelezea Okonkwo kuwa “That man was one of the greatest men in Umuofia. You drove him to kill himself; and now he will be buried like a dog”
Siku si nyingi niliandika makala kusema "Uteuzi wa Samia kuwa mgombea wa CCM, ni Res judicata kwa sasa" nikiwa na maana ya kisheria kuwa limehitimishwa!
Katika vyama 19 vilivyo sajiliwa, vyama 18, aidha vimeshakamilisha uteuzi wa wagombea au vipo kwenye hatua mbalimbali za kufanya hivyo. Nani sasa unadhani ataunga mkono agenda yako kama sio CHADEMA peke yao wanaoendelea na No reforms, No election?
Ukweli ni kuwa, October 29, 2025 uchaguzi utafanyika, Rais Samia atashinda na kutangazwa, na CCM watajizolea majimbo yote na viti vyote vya udiwani kupitia wanachama wao zaidi ya milioni 13 watakaopiga kura. Kwa mtazamo huu narejea ushauri uliotolewa na Obierika kwa Okonkwo: "If I were you, I would have stayed at home. What you have done will not please the earth"
SAMIA'S NOMINATION IS RES JUDICATA BY NOW
View: https://vm.tiktok.com/ZMA1PwNjT/