The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,871
hujui tu vile umegonga kisu kwenye mfupa!kuna siku ntakwambia!
utanipa kihoro now
bora uniambie now,pm aiseee lol
hujui tu vile umegonga kisu kwenye mfupa!kuna siku ntakwambia!
Jamani, kumbe haya ndo mambo komba anayoyafanya wakati mkuu akiwa nje ya nchi??
​Chakulakwani huyo mama ni nani?
Huyo ni kiosheo cha zana ya mukulu. Sasa hapo kepteni anataka kuungana na babu seya..............Ohoooooh.kwani huyo mama ni nani?
Huyo mama anaitwa Victor?
Inabidi awe anatembea na kiti chake
Dereva dereva taratibu mkono na paja!
By hadija kopa
... a little Physics for the Captain, kupandishia vitu vitatu hakuimarishi stability ya mkao iwapo ni kimoja tu ndo kimegusa chini, sana sana vimeongeza uzito wa Komba, vimepandisha juu the center of gravity, na vimepunguza moment of inertia ya Komba, au resistance to rotation, kwa hiyo tendency ya kubiduka, imeongezeka.