bado , vyoyote iwavyo, ataongea tu...Wadau Mbona Pole Pole hapatikani LIVE FACEBOOK/YOUTUBE, kuna Mwenye Updates zozote ? Au Kapigwa Spana ??? Si alitangaza kuwa ataingia LIVE LEO 21.08.2025 SAA MBILI USIKU ?
Wadau Mbona Pole Pole hapatikani LIVE FACEBOOK/YOUTUBE, kuna Mwenye Updates zozote ? Au Kapigwa Spana ??? Si alitangaza kuwa ataingia LIVE LEO 21.08.2025 SAA MBILI USIKU ?
Wadau Mbona Pole Pole hapatikani LIVE FACEBOOK/YOUTUBE, kuna Mwenye Updates zozote ? Au Kapigwa Spana ??? Si alitangaza kuwa ataingia LIVE LEO 21.08.2025 SAA MBILI USIKU ?
Hajaanza kuongea na sidhani kama ni tatizo la kukatiwa switch. Nasikia kuna mkubwa mmoja amemwangukia na kumwomba sana sana asiongee. Hili sina uhakika nalo lakini nimesikia mtu anazungumzia tangu mchana.Yaani mkataswitch anapiga mpaka umeme ? Hii serious matter
Mmh! Angetoa hudhuru kama ni hivyoHajaanza kuongea na sidhani kama ni tatizo la kukatiwa switch. Nasikia kuna mkubwa mmoja amemwangukia na kumwomba sana sana asiongee. Hili sina uhakika nalo lakini nimesikia mtu anazungumzia tangu mchana.
Kama ni kweli akitoa udhuru nani atamwelewa? Matusi atakayotukanwa si yatakuwa mapya.Mmh! Angetoa hudhuru kama ni hivyo
Duh...kama hivyo si mpunga mrefu sana utakua umetoka...kama ni kweli lakin mana mtu hawez kuanguka Bure Bure tu.Hajaanza kuongea na sidhani kama ni tatizo la kukatiwa switch. Nasikia kuna mkubwa mmoja amemwangukia na kumwomba sana sana asiongee. Hili sina uhakika nalo lakini nimesikia mtu anazungumzia tangu mchana.