Polepole, chanzo cha CCM kushindwa Mbeya ni CCM Taifa

Polepole, chanzo cha CCM kushindwa Mbeya ni CCM Taifa

Yuko Mbeya. Kama tu mataputapu alivyo Dsm.
wote wanalindwa Na ulinzi mkali wa maaskari
Hizo ni kejeli!
Na nina wasi wasi kama aidha unatoka Mbeya au una uchungu na Mbeya.
Nahisi we mtu wa Mwanza.
 
Hizo ni kejeli!
Na nina wasi wasi kama aidha unatoka Mbeya au una uchungu na Mbeya.
Nahisi we mtu wa Mwanza.
Mkuu nineona post za huyo Bujibuji, na hakuna eneo Mbeya wenye jina hilo.
Huyo inaelekea ni wa Mwanza kweli kwa jina kamili kama Bujiku.

Anaongeza mafuta kwenye moto ili afaidike.
 
Mwandosya si alikuwa waziri toka mbeya, Mwakyembe naye si ametokea Mbeya, naibu spika pia si alitokea huko huko na yule aliyekuwa naibu waziri wa elimu ambaye hajui tofauti ya Zimbabwe na zanzibar pia si alitokea huko huko kama hao wote walikuwa jikoni na wameshindwa kuwafanya mpate maendeleo msitafute sababu hata aliyekuwa mkurugenzi usalama wa Taifa Apson pamoja na wakuu wa majeshi wawili wote wametokea huko huko Mboma na Mwamunyange mnahitaji upendeleo upi zaidi ya huo
 
Mwandosya si alikuwa waziri toka mbeya, Mwakyembe naye si ametokea Mbeya, naibu spika pia si alitokea huko huko na yule aliyekuwa naibu waziri wa elimu ambaye hajui tofauti ya Zimbabwe na zanzibar pia si alitokea huko huko kama hao wote walikuwa jikoni na wameshindwa kuwafanya mpate maendeleo msitafute sababu hata aliyekuwa mkurugenzi usalama wa Taifa Apson pamoja na wakuu wa majeshi wawili wote wametokea huko huko Mboma na Mwamunyange mnahitaji upendeleo upi zaidi ya huo
Na ndio tatizo kubwa la Wstanzania wasioijua vizuri jiografia ya Mikoa ya Nyanda za juu Kusini.
Elewa, kuna Mbeya, Songwe, Sumbawanga.
 
Polepole yeye ni Coordinator kwenye project ya kununua upinzani, hayo mengine yamemzidi uwezo, mumsamehe tuu..
 
Mwandosya si alikuwa waziri toka mbeya, Mwakyembe naye si ametokea Mbeya, naibu spika pia si alitokea huko huko na yule aliyekuwa naibu waziri wa elimu ambaye hajui tofauti ya Zimbabwe na zanzibar pia si alitokea huko huko kama hao wote walikuwa jikoni na wameshindwa kuwafanya mpate maendeleo msitafute sababu hata aliyekuwa mkurugenzi usalama wa Taifa Apson pamoja na wakuu wa majeshi wawili wote wametokea huko huko Mboma na Mwamunyange mnahitaji upendeleo upi zaidi ya huo
Kosa la Mwandosya lilikuwa kugombea urais kwa tiketi ya CCM.
Sasa mkoa unaumizwa na kunyanyapaliwa kisiasa, kimaendeleo toka enzi ya JK.
Polepole asijidai kuwa hajui hilo
 
Mwandosya si alikuwa waziri toka mbeya, Mwakyembe naye si ametokea Mbeya, naibu spika pia si alitokea huko huko na yule aliyekuwa naibu waziri wa elimu ambaye hajui tofauti ya Zimbabwe na zanzibar pia si alitokea huko huko kama hao wote walikuwa jikoni na wameshindwa kuwafanya mpate maendeleo msitafute sababu hata aliyekuwa mkurugenzi usalama wa Taifa Apson pamoja na wakuu wa majeshi wawili wote wametokea huko huko Mboma na Mwamunyange mnahitaji upendeleo upi zaidi ya huo
Kukujibu hilo, hebu watafute Jingalao, Mudawote,Mrangi, Return Of Undertaker, Paschal Mayala utapata jibu tu
 
Kwako Katibu Mwenezi CCM Taifa, ndg Polepole.
Nimesikitishwa kama si kukerwa na kauli yako ya majuzi, ati kushindwa kwa CCM Mbeya ni kutokana na ukabila.

Sisi wana CCM tutokao Mbeya tumekereka sana na kauli hiyo kwani inakosa kukubali madudu makubwa yaliofanywa na CCM Taifa kwa mkoa wa Mbeya miaka kadha iliyopita.

Polepole , jiulize sasa kama ni ukabila, Sugu ambaye wala si Mnyakyusa, Msafwa, Mpangwa au Mkinga, anapata nguvu toka kabila gani?

Kuto analyse na kukubali makosa ni kama mbuni anayeficha kichwa shimoni huku kiwiliwili chake kiko nje na kuendelea kudhuriwa.

Cha msingi CCM Taifa iwe na political scientists, Sugu kawaunganisha VIJANA, kuprotest against in action ya CCM kimaendeleo mkoani Mbeya.
CCM isijitie kutoliona hili, na hii ni pamoja na Sugu kutokuwa na uwezo wowote kuleta maendeleo mkoani Mbeya.

Tukirudi nyuma , ni CCM Taifa iliyopandikiza mbegu ya ufarakano kati ya makundi ya mtandao wa JK huko miaka ya nyuma.
Vinara wa CCM wanaojulikana, wakasema na kusikika , wako wapi?
CCM Taifa devided, but they failed to rule!
Mbona Polepole kijana wa juzi hutaki kuwasikiliza hao wazee waliopigwa mikwara?

Tunakumbuka ugomvi wa kiti cha uNEC mkoa wa Mbeya?
Mpendwa wa wana Mbeya wote kupigwa vita ya waziwazi na CCM Taifa?

Mbaya zaidi kwa karibia miaka 20 mkoa wa Mbeya , CCM Taifa imewaletea miradi gani ya maendeleo?
Miaka 20 ni mingi, sasa kijana wa miaka 20~30 mkoani Mbeya anaielewaje CCM kama chama cha kuleta maendeleo na ajira au ni chama cha maneno matupu?

Vijana haohao wakienda Mwanza na kwingineko si wanaona jinsi CCM inavyowaletea wananchi maendeleo?
Na hata Rais wetu mpendwa Magufuli, alipokuwa waziri wa ujenzi, na sasa Rais, ni miradi ipi ya ujenzi kaleta Mbeya?
Barabara ya kuingia Mbeya mjini ni kero tupu!

Polepole tusitafute wa kulaumu, jilaumuni wenyewe.
Miaka ya nyuma CCM Mbeya was a staunch CCM base.
Mtaji huo mmeupoteza wenyewe.
Mnalalamika nini?,si mna rais wenu sugu?,mwambieni awatatulie shida zenu akitoka jela.

Viongozi wa kitaifa wakija mbeya mkiongozwa na rais wenu Sugu huwa kwenye misafara yao mnawapiga mawe,mlipiga Mawe msafara wa Kikwete akiwa ziarani mkoani humo,Magufuli wakati wa kampeni mkarusha mawe,kuleni jeuri yenu,
 
Mnalalamika nini?,si mna rais wenu sugu?,mwambieni awatatulie shida zenu akitoka jela.

Viongozi wa kitaifa wakija mbeya mkiongozwa na rais wenu Sugu huwa kwenye misafara yao mnawapiga mawe,mlipiga Mawe msafara wa Kikwete akiwa ziarani mkoani humo,Magufuli wakati wa kampeni mkarusha mawe,kuleni jeuri yenu,
Mkuu wewe utakuwa na akili sawa na Sugu , pamoja na wenziwe wa under 30.
Soma vizuri mada na uielewe, ni mihemuko kama yako ndo watu wasio na akili sawasawa kama za kwako, wanamuunga mkono Sugu.
Na usivyo na uelewa, unashindwaje kuona kuwa anayelalamika ni mwana CCM?
 
Sugu ni Mkinga. Kitu kama hukijui au huna uhakika nacho ni vyema sana akakaa kimya. Hiyo ndio heshima. Kuropoka kunakufanya kuonekana poyoyo zuzumagic zwazwa mkuu
Sahihisha usemi ndugu yangu.
Sugu , Joseph Mbilinyi, Mngoni, ni Form IV failure toka Songea aliyehamia Mbeya baada ya maisha kumwendea kombo kwao.
 
Ukabila on the rise,..sijui mkinga,sijui Myakyusa sijui mnanihii....wazanzibari CCM, si mnaona wakubwa zenu watanganyika wamejaa ukabila,...,achaneni nao hawa wakabila kaane pamoja muendeleze nchi yenu,
 
kwahiyo anamaanisha Mbeya wakinga ni wengi ndiyo maana wamempa Sugu ubunge? naona anataka kupandikiza ukabila sehemu ambayo haupo.
Ni kweli, Polepole anajua anafanya nini.
Anataka kuendekeza mfarakano ndani ya Mbeya CCM ulioasisiwa na watangulizi wake wakati wa Mtandao wa Kikwete.

Polepole anashindwa kuelewa kuwa wanaompigia kura Sugu ni vijana waliokata tamaa na CCM kwa kutoleta maendeleo ya aina yoyote Mbeya
 
Back
Top Bottom