BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Chama cha Mungu hakiibi chaguzi, hakiteki, kutesa na kuuwa raia hakipandikizi chuki za kutisha miongoni mwa raia, hakinunui wana siasa wachumia tumbo kwa ufupi hakikumbatii udhalimu wa aina yoyote ile. CCM ni chama cha wahuni, wezi, mafisadi, watekaji, watoa rushwa na wapokea rushwa, wanaodhulumu Watanzania na WAUAJI.
Katibu wa uenezi ndugu Polepole kupitia kipindi cha kutekeleza ilani ya CCM kinachorushwa na TBC amesema CCM ni chama cha Mungu wa mbinguni. Polepole ameyasema hayo huko Malinyi mkoani Morogoro.
Source TBC
Johnthebaptist nikiwa hapa nchini Israel kiibada nawashauri wanasiasa wachunge sana ndimi zao kwani Mungu wa Mbinguni haziakiwi!