Mbingu ipi?
Chama kilichoshindwa kuwatoa wananchi kwenye umaskini mzito.
Ukifika Dodoma vijijini, Kigoma vijijuni, Lindi vijijini, Mtwara vijijini, Shinyanga, Tabora n.k wananchi wana hali ngumu sana.
CCM wameshindwa kuitumia bahari iliyoanzia kaskazini mpaka kusini mwa Tanzania kuwatoa watu kwenye umaskini.
CCM wameshindwa kuzitumia hifadhi za Taifa kuwatoa watu kwenye umaskini.
CCM wameshindwa kuitumia ardhi kubwa ya Tanzania kuwatoa watu kwenye umaskini mzito. Tanzania kila zao linakubali. Kama likigoma Moshi , Lindi litakubali, Kama likigoma Singida, Njombe litakubali etc .
CCM wameshindwa kuitumia migodi ya madini kuwatoa watu watu kwenye umaskini mzito.
Eti CCM chama cha miungu ya mbinguni