Oii
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 3,930
- 3,129
Nani kakwambia anaiogopa JF, kwa lipi haswa JF inaweza mtisha. Acheni ujinga nyie, hichi kiplatform hakina effect kubwa kihivyo.Acha ujinga wewe! Unadhani kwanini huyo mwizi, fisadi, muongo na dikteta uchwara anaihofia JamiiForums!? Hadi apeleke muswaada uchwara bungeni?