Uchaguzi 2020 Polepole: CCM inawataka wagombea wote waliofeli kura za maoni kuwapigia kampeni washindi watakaokaidi kukosa teuzi!

Sijui amekula nn ? Huyo mtu anaenda kwa miguu kwenye hizo kampeni,yeye anafikiri kukosa mshahara ni jambo dogo
 
Hahaha ccm mijinga sana na itaamini, vyeo vingapi mtapata nyie?! Na waliopo kwenye nafasi hizo mtawaua au mtawapeleka wapi?!
 
Inahitaji kuwa na moyo mkubwa; hasa walioshika nafasi ya kwanza kwenye kura za maoni na wakaenguliwa kugombea. Wao wanaona uwazi uliotawala kura za maoni ilikuwa danganya toto kumbe chama kilikuwa na watu wake - hasa waliohamia kutoka upinzani. Wahanga hawa wanajisikia kutotendewa haki. Vyeo vya kuteuliwa ni bahati na sibu. Probability ya kupata ni ndogo sana.
 
Nchi hii ina wajinga wengi sana
Kweli kabisa lakini wengi zaidi wako CCM kina mvuto sana kwa wajinga. Haitashangaza kumwona Mtemi wa vijisenti wa Harvard University akimfanyia kampeini waliombwaga wakina Musukuma au Kibajaji au hata Yule kijana wa kuunga mkono juhudi aliyembwaga Jimboni. Viongozi Serikalini na Chamani ni vitisho vinatawala na kuimba mafanikio ya Awamu ya Tano kila wakati na kila mahali lakini hakuna kinachoongoka kwa sababu watendaji hawateuliwi kwa uwezo na uzoefu bali kwa kuunga mkono juhudi ambazo hazipo.
 
Bwashee yule Kinanasi amepita kura za maoni?
Ndio mgombea wa ccm Kyela , ukiacha rushwa ya pikipiki aliyowahonga makatibu kata wote wa ccm kyela nzima na kuwapa wajumbe laki tatu tatu , hana ushawishi mbele ya wananchi na wala hana uwezo wa kuomba kura , wengi wanaamini kukosa kwake hata elimu ya sekondari kumemtia zege mdomoni , Mbunge ajaye Kyela ni Alinanuswe Mwalwange kutoka Chadema
 
Ccm sio mama yangu wala baba yangu
 
Polepole sisi wa kampeni mitandaoni hizo teuzi hazi tuhusu sio unaangalia waliokatwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…