johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,955
- 141,942
Mbunge wa viti maalumu komredi Polepole amesema enzi za awamu ya 5 hakuna mpinzani yoyote aliyenunuliwa na CCM ila walijileta wenyewe.
Hata Joseph Mbilinyi aka Sugu hatujawahi kumuahidi uwaziri aache kudanganya watu, amesema komredi Polepole.
Maendeleo hayana vyama!
Hata Joseph Mbilinyi aka Sugu hatujawahi kumuahidi uwaziri aache kudanganya watu, amesema komredi Polepole.
Maendeleo hayana vyama!