Polepole, Ati Mbeya ina ukabila, hapa umekanushwa!

Polepole, Ati Mbeya ina ukabila, hapa umekanushwa!

Tanzania nzima kuna ukabila wala huna sababu ya kukataa labda useme ni kwa namna gani tutaupunguza lakini mbona ukiwa kwenye mkoa wenye kabila zaidi ya moja ushindani baina ya kabila na kabila huwa wazi mfano uchaguzi wa Lem arusha kuna vinasaba vya uchaga na umasai viliinuka
Ukienda morogoro yapo tanga yapo mara yapo kagera yapo singida yapo na mbeya yapo pia
wacha uongo.
 
Ninachojua ni kwamba Pole Pole hana akili timamu........
 
Mbeya yetu, Mungu tuepushe na liccm lisije kutugawa.
 
Tanzania nzima kuna ukabila wala huna sababu ya kukataa labda useme ni kwa namna gani tutaupunguza lakini mbona ukiwa kwenye mkoa wenye kabila zaidi ya moja ushindani baina ya kabila na kabila huwa wazi mfano uchaguzi wa Lem arusha kuna vinasaba vya uchaga na umasai viliinuka
Ukienda morogoro yapo tanga yapo mara yapo kagera yapo singida yapo na mbeya yapo pia

Labda hivyo vina saba viliinukia uko kwenu.
 
Kama Mbeya kuna ukabila basi CCM hawawezi kukwepa kuwa wao ndio chimbuko lake.

Vv
 
Ninachojua ni kwamba Pole Pole hana akili timamu........
CCM tunavyoijua ina watu wenye hekima, uadilifu na ambao ni foward thinkers.
Huyu kijana Polepole sijui katokea wapi.
Hana foward thinking kujua madhara ya matamshi yake.
Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana ni vyema akachukua hatua kumweka huyu kijana sehemu anayistahili.
Sweeping statements za ati mahali fulani kuna ukabila zinaleta hisia kuwa ametumwa tu kufanya assigment fulani na kashindwa.
 
pole pole jina linamlevya ...ni slow leaner "" so hawezi kuwaza kwa mapana kama ambavyo amekuwa anatamani iwe hivyo '''"
 
mbeya tuna umoja usioingiliana na ukabila. yeyote anapokelewa ili mradi aendane na matakwa ya wana mbeya.

. kwa taarifa tu sugu ni mkinga na babayake sio wa hovyo hovyo kama wengi wetu ni maarufu pale sai mpaka kituo cha daladala kimepewa jina lake. kwa mbilinyi. huyo ndio sugu. na mwandosya hakua mbunge wa mjini ni mbunge toka mbeya vijijini, tena vijijin kwelikweli. mwakaleli huko
 
Tanzania nzima kuna ukabila wala huna sababu ya kukataa labda useme ni kwa namna gani tutaupunguza lakini mbona ukiwa kwenye mkoa wenye kabila zaidi ya moja ushindani baina ya kabila na kabila huwa wazi mfano uchaguzi wa Lem arusha kuna vinasaba vya uchaga na umasai viliinuka
Ukienda morogoro yapo tanga yapo mara yapo kagera yapo singida yapo na mbeya yapo pia

Kwan Tanzania kuna wakati hoja ya ukabila inaibuliwa ili kumdidimiza mgombea anayeonekana anakubalika, na kumnyanyua asiyekubalika...!!
 
Kwan Tanzania kuna wakati hoja ya ukabila inaibuliwa ili kumdidimiza mgombea anayeonekana anakubalika, na kumnyanyua asiyekubalika...!!
Watu wenye kuona mbali wana hisi Polepole ana ajenda ya siri iliyompeleka huko Mbeya, na imekanushwa kwa namna ya wazi kabisa.
 
Mim mwenyew n mtu wa Mbeya nakir ni kweli Kuna ukabila hata hivo si wakutisha
 
Back
Top Bottom