Polepole, Ati Mbeya ina ukabila, hapa umekanushwa!

Polepole, Ati Mbeya ina ukabila, hapa umekanushwa!

View attachment 776562

Kati ya matamko yaliyonikera mimi binafsi, ni lile tamko la Ndg Polepole alipotoka ziarani huko Mbeya.
Vyombo vya habari vilimnukuu akisema viongozi ndani ya mkoa wa Mbeya wana ukabila.

Sijui nini kilimsukuma kusema hivyo maana tuliotoka mkoa huo tupo pamoja katika mambo mengi ya kijamii.
Hata mila na heshima za watu wa mkoa huu zinalingana.

Kitendo cha Prof Mark Mwandosya kumpongeza Mbunge wa Mbeya Mjini Ndg Mbilinyi , ni kitendo ambacho watu wenye mawazo kama ya Humphrey Polepole kitawakanusha na kuwatia soni.
Picha ya Nd Mbilinyi na Prof Mwandosya imeongea mengi.

Wanasaikolojia wameshaanza kuhisi kuwa tamko lile la Polepole ni kutokana na kushindwa katika kile alichokiendea Mbeya.
Ndugu zangu mwacheni Ndugu Polepole aendelee na ujinga wake, simkumbuki katibu mwenezi wa CCM mwenye heshima kwa watu hasa wapinzani. Namkumbuka Mhe. Ramadhan Mapuri, Mhe. Nape Mnauye na sasa ndugu Polepole. Wote walipitiliza, ila wanakuja kugundua baadaye kuwa wapinzani nao ni watanzania na wanauwezo wa kufikiri na kutenda bora kama watu wengine. Hebu mkumbuke Mhe. Nape alivyokuwa anamsema Dr. Wilbroad Peter Slaa, Balozi wa Tanzania Sweden. Kumbuka Prof. Kitila Mkumbo alivyokuwa anapuuzwa. Kumbuka Mama Anna Mghwira alivyokuwa anaonekana wakati ule wa kampeini za urais na sasa akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro? Kuna wakati najiuliza kuna kitu huwa wanalishwa ( Makatibu waenezi na itikadi wa CCM)?
 
Ni kitu gani hicho Ndg. Pole Pole , alikifuata huko Mbeya na kikashindikana?? Ndugu Mleta Mada.
 
Ni kitu gani hicho Ndg. Pole Pole , alikifuata huko Mbeya na kikashindikana?? Ndugu Mleta Mada.
Mkuu, Polepole alichoenda kufanya huko Mbeya hakijulikani, lakini angeenda kuwaona wazee wa CCM mkoani na mawilayani ingekuwa afya sana na asingekuja na tamko la kuwa watu wa Mbeya ni wakabila.
Sisi tu watu wakarimu sana, sasa ndugu huyu has rubbed us the wrong way.
 
Mkuu, Polepole alichoenda kufanya huko Mbeya hakijulikani, lakini angeenda kuwsona wazee wa CCM mkoani na mawilayani ingekuwa afya sana na asingekuja na tamko la kuwa watu wa Mbeya ni wakabila.
Sisi tu watu wakarimu sana, sasa ndugu huyu has rubbed us the wrong way.
Niambie nini kimetokea mkuu, Maana yule Masopakyindi wa awamu ile sio sawa na huyu wa awamu hii..Tafdhali nisaidie niweze kuelewa kilichopo..labda itasaidia na kuwaelewa watu wa huko kama unavyosema..
 
Niambie nini kimetokea mkuu, Maana yule Masopakyindi wa awamu ile sio sawa na huyu wa awamu hii..Tafdhali nisaidie niweze kuelewa kilichopo..labda itasaidia na kuwaelewa watu wa huko kama unavyosema..
Hapana kilichotokea mkuu, mimi ni kada tena pyua.
Ila kama wanavyoimba wenzetu wamakonde, "kila munu ave na kwao", hata mimi nina kwetu.

Kwa mtu wa Mbeya kupewa sifa ambayo si yake, ujue umemchokoza.
Watu wa Mbeya ni waelewa, wakarimu na chunguza 15~20yrs Mbeya ilikuwa ngome kubwa ya CCM.
Figisu zilizojitokeza sitaki kuzisimulia.
Mkapa hakuwahi kuwa karibu na Mbeya
Kikwete hakuwahi kuwa karibu na Mbeya
Magufuli sijui lakini muelekeo unajionyesha.
Lakini hili la Polepole kutoa sifa za ukabila, zinazoshahibiana na uchoyo kitabia, hakututendea haki.
 
Mwandosya bado anawaza Urais na anajipendekeza kwa chadema ili wampe nafasi ya kugombea uraisi.

Bora makae kimya huyo Mzee akiamua tu kuiongoza Chadema Kanda ya kule kama alivyo Sumaye kanda ya Pwani kazi itakuwepo
 
Tanzania nzima kuna ukabila wala huna sababu ya kukataa labda useme ni kwa namna gani tutaupunguza lakini mbona ukiwa kwenye mkoa wenye kabila zaidi ya moja ushindani baina ya kabila na kabila huwa wazi mfano uchaguzi wa Lem arusha kuna vinasaba vya uchaga na umasai viliinuka
Ukienda morogoro yapo tanga yapo mara yapo kagera yapo singida yapo na mbeya yapo pia
Mkuu we shida yako ni hapo kwa Lema tu, huko kwingine umebwabwaja kupoteza lengo. Lema ni mwiba kwenu anawanyima usingizi ndio maana unamuota ota kila wakati.
 
View attachment 776562

Kati ya matamko yaliyonikera mimi binafsi, ni lile tamko la Ndg Polepole alipotoka ziarani huko Mbeya.
Vyombo vya habari vilimnukuu akisema viongozi ndani ya mkoa wa Mbeya wana ukabila.

Sijui nini kilimsukuma kusema hivyo maana tuliotoka mkoa huo tupo pamoja katika mambo mengi ya kijamii.
Hata mila na heshima za watu wa mkoa huu zinalingana.

Kitendo cha Prof Mark Mwandosya kumpongeza Mbunge wa Mbeya Mjini Ndg Mbilinyi , ni kitendo ambacho watu wenye mawazo kama ya Humphrey Polepole kitawakanusha na kuwatia soni.
Picha ya Nd Mbilinyi na Prof Mwandosya imeongea mengi.

Wanasaikolojia wameshaanza kuhisi kuwa tamko lile la Polepole ni kutokana na kushindwa katika kile alichokiendea Mbeya.
Humphrey Polepole ni miongoni mwa viongozi wa kiwango cha chini kabisa ambao ccm imewahi kuwa nao tangu kuzaliwa kwake
 
@(Pole)×2 ; kama hujui role model wa Mr II ni Prof. Mark; kama umeumia kumpokea na kumpa pole basi meza kiwembe.
 
Humphrey Polepole ni miongoni mwa viongozi wa kiwango cha chini kabisa ambao ccm imewahi kuwa nao tangu kuzaliwa kwake
Badala ya kubuni miradi ya kukijenga chama kinachokufa kwa migawanyiko jamaa anakuja na project ya kununua madiwani wa Upinzani.
 
Kakosa watu wa kununua sasa kaja na kisingizio eti mbeya kuna ukabila...!
pambaff kabisa
 
nyie ccm msiwasingizie watu wa mbeya nimeishi nao toka 2002 hadi 2011 ni watu wazuri sana wote kwa pamoja kuanzia wamalila,wasafwa,wanyakyusa n.k hawana ukabila wala nini tena mnyakyusa ni mtu mmoja safi sana sijawahi ona..
 
Back
Top Bottom