Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,729
- 5,637
Na hivi anavyosema kwamba kesho anataka kufanya Press Conference, sijui anataka kusema nini.
Huyu ni mwanasiasa with extremist views, now made worse by his stay in Cuba. Watanzania wanataka amani. CCM wamesema Samia Suluhu ndie atakuwa mgombea urais. Ni wao wenyewe CCM ndio wanaweza kumbadili. Siyo Polepole au Dr. Slaa
Soma: Humphrey Polepole: Nitazungumza na Umma 31 Julai 2025 Saa 2:00 Usiku
Tayari Polepole ameshaleta madhara sana, anavuruga amani, anataka kufafanua mambo kumbe ndio anazidi kuwavuruga watu. Bado kuna loose ends which have to be tied up. CHADEMA lazima waelewe kwamba wakipewa ruzuku siyo kwa ajili ya kutumia na watu wachache katika Chama chao.
Sasa ambapo Uteuzi umekwisha CCM, wanaweza kusikiliza manung'uniko ya CHADEMA. Halafu watu wengine wamekatwa wasigombee Ubunge kwa sababu hawakumpendeza Mwenyekiti. Kwa hiyo labda watasubiri mpaka 2030.
Polepole wants to destabilize the country. Anatumwa na Ford Foundation. Sasa, hii Ford Foundation ya siku siyo Ile ya zamani alipokuwepo Henry Ford anatengeneza gari kwa kutumia madebe na makopo.
Zamani, Henry Ford alikuwa very progressive, anauliza kwa nini tunaona upendeleo, watu wachache wanatajirika, kazi wanayoifanya hatuioni?
Huyu ni mwanasiasa with extremist views, now made worse by his stay in Cuba. Watanzania wanataka amani. CCM wamesema Samia Suluhu ndie atakuwa mgombea urais. Ni wao wenyewe CCM ndio wanaweza kumbadili. Siyo Polepole au Dr. Slaa
Soma: Humphrey Polepole: Nitazungumza na Umma 31 Julai 2025 Saa 2:00 Usiku
Tayari Polepole ameshaleta madhara sana, anavuruga amani, anataka kufafanua mambo kumbe ndio anazidi kuwavuruga watu. Bado kuna loose ends which have to be tied up. CHADEMA lazima waelewe kwamba wakipewa ruzuku siyo kwa ajili ya kutumia na watu wachache katika Chama chao.
Sasa ambapo Uteuzi umekwisha CCM, wanaweza kusikiliza manung'uniko ya CHADEMA. Halafu watu wengine wamekatwa wasigombee Ubunge kwa sababu hawakumpendeza Mwenyekiti. Kwa hiyo labda watasubiri mpaka 2030.
Polepole wants to destabilize the country. Anatumwa na Ford Foundation. Sasa, hii Ford Foundation ya siku siyo Ile ya zamani alipokuwepo Henry Ford anatengeneza gari kwa kutumia madebe na makopo.
Zamani, Henry Ford alikuwa very progressive, anauliza kwa nini tunaona upendeleo, watu wachache wanatajirika, kazi wanayoifanya hatuioni?