Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 12,151
- 44,071
Nimefuatilia hatua kwa hatua mijadala ya Pole pole na kugundua wazi kuwa, kuna mamilioni ya watanzania wanamfuatilia kwa kina Pole pole kile alichokiongea na wengi wao wanamuelewa na kumuamini. Kama kuna namna CCM ilipaswa kumdhibiti kabla lakini kwa sasa imechelewa mnoo, sijui wafanyeje?
Hapa chini ni baadhi ya mambo ambayo Pole pole ameyaibua na kuzaa heka heka nyingi mitandaoni na kwenye jamii.
1. Genge la watu waliopachikwa jina la wahuni (kundi la wanamtandao ikiongozwa na Kikwete na Rostam) lililopora CCM na serikali huku likimuhujumu Magufuli kwa nguvu kubwa.
2. Uhuni wa kisiasa uliotumika kumpitisha Samia kugombea urais ndani ya CCM.
3. Mifumo ya wizi wa kura unaofanywa na CCM kwa kuingilia mifumo ta INEC na Nida.
4. Genge la utekaji linalofadhiliwa na wahuni wa CCM.
5. Wizi wa rasimali unaofanywa na Rostam Aziz chini ya uratibu wa Ikulu.
6. Wizi na ufisadi wa kutisha unaofanywa na viongozi wa serikali.
7. Majaribio kadhaa ya kutaka kumuua Magufuli.
8. Uwepo wa vyama vingi bandia vya upinzani (ikiwemo ACT na CHAUMMA) ambavyo ni project ya CCM kwa 100%.
9. Utata mkubwa wa kifo cha Magufuli huku wanamtandao wakitajwa kuhusika kwa 100%!
10. Tuhuma za ushirikina na usalama usiotabirika katika Ikulu ya Magogoni uliopelekea kwa haraka na lazima kwa Magufuli kukimbilia kuishi na kujenga Ikulu mpya Dodoma.
Hapa chini ni baadhi ya mambo ambayo Pole pole ameyaibua na kuzaa heka heka nyingi mitandaoni na kwenye jamii.
1. Genge la watu waliopachikwa jina la wahuni (kundi la wanamtandao ikiongozwa na Kikwete na Rostam) lililopora CCM na serikali huku likimuhujumu Magufuli kwa nguvu kubwa.
2. Uhuni wa kisiasa uliotumika kumpitisha Samia kugombea urais ndani ya CCM.
3. Mifumo ya wizi wa kura unaofanywa na CCM kwa kuingilia mifumo ta INEC na Nida.
4. Genge la utekaji linalofadhiliwa na wahuni wa CCM.
5. Wizi wa rasimali unaofanywa na Rostam Aziz chini ya uratibu wa Ikulu.
6. Wizi na ufisadi wa kutisha unaofanywa na viongozi wa serikali.
7. Majaribio kadhaa ya kutaka kumuua Magufuli.
8. Uwepo wa vyama vingi bandia vya upinzani (ikiwemo ACT na CHAUMMA) ambavyo ni project ya CCM kwa 100%.
9. Utata mkubwa wa kifo cha Magufuli huku wanamtandao wakitajwa kuhusika kwa 100%!
10. Tuhuma za ushirikina na usalama usiotabirika katika Ikulu ya Magogoni uliopelekea kwa haraka na lazima kwa Magufuli kukimbilia kuishi na kujenga Ikulu mpya Dodoma.