Polepole ameishajivua gamba la Ukristo?

Polepole ameishajivua gamba la Ukristo?

Vulmeko

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2025
Posts
281
Reaction score
220
Nimesikiliza mara nyingi hotuba za Mheshimiwa Polepole, na nimejiridhisha pasina shaka kwamba huyu ndugu ni Mkristo, tena aliyebobea katika ujuzi wa Biblia.

Katika hotuba zake anazoziwasilisha kwa weledi wa hali ya juu, mara nyingi akimaliza episode ya kwanza, huwa anaahidi kwamba siku fulani na saa fulani ataongea tena na umma. Hata hivyo, ahadi hiyo huwa haitimii kwa asilimia mia moja. Kuna wakati anaanza kuongea mapema kabla ya muda aliousema, na wakati mwingine anachelewa sana kuanza. Of course, hiyo inaweza kuwa mbinu ya kuwakwepa wakata swichi, lakini sidhani kama jambo hilo linampendeza Mungu anayemuabudu. Mimi sio mjuzi sana wa Biblia, lakini nakumbuka kuna mahali imeandikwa kwamba tusiambiane uongo, kwakuwa tumeuvua utu wa kale; na kwamba waongo watahukumiwa adhabu.

Ndio sababu nauliza: huyu Mheshimiwa amejivua Ukristo? Kama bado, kwanini hayatimizi maagizo ya Bwana Yesu? Na je, kama malengo yake yatafanikiwa, si ataendelea na tabia hiyohiyo ya kuudanganya umma hata katika mambo nyeti?

Kwa unyenyekevu mkubwa, nawasilisha maswali yangu.
 
Nimesikiliza mara nyingi hotuba za Mheshimiwa Polepole, na nimejiridhisha pasina shaka kwamba huyu ndugu ni Mkristo, tena aliyebobea katika ujuzi wa Biblia.

Katika hotuba zake anazoziwasilisha kwa weledi wa hali ya juu, mara nyingi akimaliza episode ya kwanza, huwa anaahidi kwamba siku fulani na saa fulani ataongea tena na umma. Hata hivyo, ahadi hiyo huwa haitimii kwa asilimia mia moja. Kuna wakati anaanza kuongea mapema kabla ya muda aliousema, na wakati mwingine anachelewa sana kuanza. Of course, hiyo inaweza kuwa mbinu ya kuwakwepa wakata swichi, lakini sidhani kama jambo hilo linampendeza Mungu anayemuabudu. Mimi sio mjuzi sana wa Biblia, lakini nakumbuka kuna mahali imeandikwa kwamba tusiambiane uongo, kwakuwa tumeuvua utu wa kale; na kwamba waongo watahukumiwa adhabu.

Ndio sababu nauliza: huyu Mheshimiwa amejivua Ukristo? Kama bado, kwanini hayatimizi maagizo ya Bwana Yesu? Na je, kama malengo yake yatafanikiwa, si ataendelea na tabia hiyohiyo ya kuudanganya umma hata katika mambo nyeti?

Kwa unyenyekevu mkubwa, nawasilisha maswali yangu.
Unajua maana ya kuambiana uongo?
 
Nimesikiliza mara nyingi hotuba za Mheshimiwa Polepole, na nimejiridhisha pasina shaka kwamba huyu ndugu ni Mkristo, tena aliyebobea katika ujuzi wa Biblia.

Katika hotuba zake anazoziwasilisha kwa weledi wa hali ya juu, mara nyingi akimaliza episode ya kwanza, huwa anaahidi kwamba siku fulani na saa fulani ataongea tena na umma. Hata hivyo, ahadi hiyo huwa haitimii kwa asilimia mia moja. Kuna wakati anaanza kuongea mapema kabla ya muda aliousema, na wakati mwingine anachelewa sana kuanza. Of course, hiyo inaweza kuwa mbinu ya kuwakwepa wakata swichi, lakini sidhani kama jambo hilo linampendeza Mungu anayemuabudu. Mimi sio mjuzi sana wa Biblia, lakini nakumbuka kuna mahali imeandikwa kwamba tusiambiane uongo, kwakuwa tumeuvua utu wa kale; na kwamba waongo watahukumiwa adhabu.

Ndio sababu nauliza: huyu Mheshimiwa amejivua Ukristo? Kama bado, kwanini hayatimizi maagizo ya Bwana Yesu? Na je, kama malengo yake yatafanikiwa, si ataendelea na tabia hiyohiyo ya kuudanganya umma hata katika mambo nyeti?

Kwa unyenyekevu mkubwa, nawasilisha maswali yangu.
Yes,
hivi sasa amejivika utakatifu wa kinafiki na kujikita zaidi katika kupotosha waliopoteza uelekeo wa kisiasa kama yeye 🐒
 
Nimesikiliza mara nyingi hotuba za Mheshimiwa Polepole, na nimejiridhisha pasina shaka kwamba huyu ndugu ni Mkristo, tena aliyebobea katika ujuzi wa Biblia.

Katika hotuba zake anazoziwasilisha kwa weledi wa hali ya juu, mara nyingi akimaliza episode ya kwanza, huwa anaahidi kwamba siku fulani na saa fulani ataongea tena na umma. Hata hivyo, ahadi hiyo huwa haitimii kwa asilimia mia moja. Kuna wakati anaanza kuongea mapema kabla ya muda aliousema, na wakati mwingine anachelewa sana kuanza. Of course, hiyo inaweza kuwa mbinu ya kuwakwepa wakata swichi, lakini sidhani kama jambo hilo linampendeza Mungu anayemuabudu. Mimi sio mjuzi sana wa Biblia, lakini nakumbuka kuna mahali imeandikwa kwamba tusiambiane uongo, kwakuwa tumeuvua utu wa kale; na kwamba waongo watahukumiwa adhabu.

Ndio sababu nauliza: huyu Mheshimiwa amejivua Ukristo? Kama bado, kwanini hayatimizi maagizo ya Bwana Yesu? Na je, kama malengo yake yatafanikiwa, si ataendelea na tabia hiyohiyo ya kuudanganya umma hata katika mambo nyeti?

Kwa unyenyekevu mkubwa, nawasilisha maswali yangu.
Ukiwaiwa utapona, hujaathirika sana.
 
Nimesikiliza mara nyingi hotuba za Mheshimiwa Polepole, na nimejiridhisha pasina shaka kwamba huyu ndugu ni Mkristo, tena aliyebobea katika ujuzi wa Biblia.

Katika hotuba zake anazoziwasilisha kwa weledi wa hali ya juu, mara nyingi akimaliza episode ya kwanza, huwa anaahidi kwamba siku fulani na saa fulani ataongea tena na umma. Hata hivyo, ahadi hiyo huwa haitimii kwa asilimia mia moja. Kuna wakati anaanza kuongea mapema kabla ya muda aliousema, na wakati mwingine anachelewa sana kuanza. Of course, hiyo inaweza kuwa mbinu ya kuwakwepa wakata swichi, lakini sidhani kama jambo hilo linampendeza Mungu anayemuabudu. Mimi sio mjuzi sana wa Biblia, lakini nakumbuka kuna mahali imeandikwa kwamba tusiambiane uongo, kwakuwa tumeuvua utu wa kale; na kwamba waongo watahukumiwa adhabu.

Ndio sababu nauliza: huyu Mheshimiwa amejivua Ukristo? Kama bado, kwanini hayatimizi maagizo ya Bwana Yesu? Na je, kama malengo yake yatafanikiwa, si ataendelea na tabia hiyohiyo ya kuudanganya umma hata katika mambo nyeti?

Kwa unyenyekevu mkubwa, nawasilisha maswali yangu.
Wewe ni mzima internet mshenzi wewe ndio MANA anawapiga vyenga vya muda
 
Katika mwenendo woooote wa polepole umeguswa na kuchelewa ama kuwahi kwake tu kuolanza kuzungumza kaka ???
Are you you ?... or you are just another CROOKED COMRADE speaking through your ID ??
 
Wewe ni mzima internet mshenzi wewe ndio MANA anawapiga vyenga vya muda
Utapungukiwa nini ukiheshimu ngaa kidogo nywele zangu nyeupe? Au kwenu hakuna wazee?
 
sababu zilizo nje ya uwezo wake

unajua anakumbana na nini had kushindwa kuanza muda alio sema
 
Yakobo alisema uongo na kuiba haki ya mzaliwa wa kwanza aliyo stahili Kaka yake Esau.
Mungu alimbariki Yakobo baada ya kupewa haki ya mzaliwa wa kwanza kwa njia ya udanganyifu.
Mwanzo 27:18–29

Unajifunza Nini?
Siyo kila unaposema uongo inakuwa dhambi. Vinginevyo Yakobo asingepata baraka za Mungu.
Kwanini Mungu alipokea baraka za baba yake Yakobo za kumbariki Yakobo akidhani mtoto wake wa kwanza Esau?

Sababu:
Esau alijijali zaidi yeye mwenyewe kuliko familia yake, na hakuwatii wazazi wake na Bwana(Mungu).
Mwanzo 25:25, 32; 26:34–35

Je, wahuni anaopambana nao Polepole hawatendi Kama Esau? Kujijali zaidi wao binafsi na kumkosea Mungu kwa matendo yao ya kifisadi na wizi wa mali za umma, n.k.?
 
Katika mwenendo woooote wa polepole umeguswa na kuchelewa ama kuwahi kwake tu kuolanza kuzungumza kaka ???
Are you you ?... or you are just another CROOKED COMRADE speaking through your ID ??
Chachu kidogo huchachua donge zima. Hapo vipi, mkuu
 
Back
Top Bottom