Polepole ameishajivua gamba la Ukristo?

Polepole ameishajivua gamba la Ukristo?

Muhimu unafatilia spana zake..!!
Sana tu. Ila nafuatilia pia matamshi yake ya kiroho ili kuhakiki Ukristo wake. Kama aliishaacha Ukristo atuambie ili tusifuatishe matendo yake, tukajikuta hatiani siku ya hukumu. Au vipi
 
Yes,
hivi sasa amejivika utakatifu wa kinafiki na kujikita zaidi katika kupotosha waliopoteza uelekeo wa kisiasa kama yeye 🐒
Hebu kula pesa. Kidogo hapo, umetoa point boko

 
Nipe mifano ya Agano Jipya. Mambo mengi ya Agano la Kale Yesu alipokuja aliyafanyia ammendment. Wakati wa Agano la kale ilikuwa halali kuua, Yesu akaja akaibadilisha sheria hiyo. Hivisasa kuua ni dhambi. Vivyo hivyo kusema uongo ni dhambi katika Agano Jipya. Kasome habari za Anania na Safira. Walikufa immediately baada ya kusema uongo. Hapo vipi, mkuu.
Petro aliopoulizwa anamfahamu Yesu alimkana mara tatu.
Yesu mwenyewe alitabiri hilo litatokea.
Unafikiri kwanini Petro hajaoewa adhabu?
Alisema uongo ili asiuwawe na yeye. Angeuwawa yasingetimia maneno ya Yesu ya kulijenga hekalu juu ya mwamba(Petro) huo.
 
Senior member...pambana bado kidogo utapanda cheo na kuwa Expert member...new ID kama kawa kwenye ubora wenu! Wewe ni wa 39 mpaka sasa! Nazidi kuwahesabu
Asee, kumbe wengine mnakula kiulaini namna hiyo? Yaani wewe umo humu kuhesabu ID mpya tu na mkono unaingia kinywani, teh teh
 
Asee, kumbe wengine mnakula kiulaini namna hiyo? Yaani wewe umo humu kuhesabu ID mpya tu na mkono unaingia kinywani, teh teh
Tunawajua nyie wazee wa buku 7 saiz mmeongezewa imekuwa buku 8 na jero...pambana mzee mama
 
Petro aliopoulizwa anamfahamu Yesu alimkana mara tatu.
Yesu mwenyewe alitabiri hilo litatokea.
Unafikiri kwanini Petro hajaoewa adhabu?
Alisema uongo ili asiuwawe na yeye. Angeuwawa yasingetimia maneno ya Yesu ya kulijenga hekalu juu ya mwamba(Petro) huo.
Nakumbuka Petro baada ya kumkana Yesu, alilia machozi kuonesha majuto na toba. Baada ya pale kuna sehemu nyingine uliyosoma kwamba alisema uongo?
 
Nipe mifano ya Agano Jipya. Mambo mengi ya Agano la Kale Yesu alipokuja aliyafanyia ammendment. Wakati wa Agano la kale ilikuwa halali kuua, Yesu akaja akaibadilisha sheria hiyo. Hivisasa kuua ni dhambi. Vivyo hivyo kusema uongo ni dhambi katika Agano Jipya. Kasome habari za Anania na Safira. Walikufa immediately baada ya kusema uongo. Hapo vipi, mkuu.



Yesu na Ndugu zake – Yohana 7:8-10
Yesu aliwaambia ndugu zake: “Ninyi pandeni sikukuu hii; mimi sipandi bado...”
lakini baadaye akaenda kisirisiri.

Yan anachofanya polepole kilishafanya na paulo, akakifanya na YESU .... Na siajabu hata sir GOD huwa anafanyq ila sema ivo tu ni ngum kumsemea ...

Sema kingine.
 
Yesu na Ndugu zake – Yohana 7:8-10
Yesu aliwaambia ndugu zake: “Ninyi pandeni sikukuu hii; mimi sipandi bado...”
lakini baadaye akaenda kisirisiri.

Sema kingine.
Sioni kosa hapo. Alisema mimi sipandi bado, BAADAYE akaenda. He was right. Angesema hapandi na saa hiyohiyo akapanda, tungesema alidanganya. Lakini alipanda baadaye. Uongo wake uko wapi
 
Sioni kosa hapo. Alisema mimi sipandi bado, BAADAYE akaenda. He was right. Angesema hapandi na saa hiyohiyo akapanda, tungesema alidanganya. Lakini alipanda baadaye. Uongo wake uko wapi

Humphrey anasema ataongea saa tatu af anaongea saa tatu na dakika 50 . Au sa tatu kasoro 15.

Uongo ukowapi ?
 
Senior member...pambana bado kidogo utapanda cheo na kuwa Expert member...new ID kama kawa kwenye ubora wenu! Wewe ni wa 39 mpaka sasa! Nazidi kuwahesabu
Caricatures(vikaragosi) wa akina Rostam, Abdul, Mkwere, bibi Kibwengo na timu yote ya wahuni wanamtandao eti kwa ajili ya counterattacking mashambulizi ya Polepole.
 
Humphrey anasema ataongea saa tatu af anaongea saa tatu na dakika 50 . Au sa tatu kasoro 15.

Uongo ukowapi ?
Ww unaona saa 3:00 ni sawa kabisa na saa 3:50? Kama ni hivyo ukiwa Mkurugenzi wa shirika la ndege tutapata tabu sana.
 
Caricatures(vikaragosi) wa akina Rostam, Abdul, Mkwere, bibi Kibwengo na timu yote ya wahuni wanamtandao eti kwa ajili ya counterattacking mashambulizi ya Polepole.
No, let us call a spade, a spade.
 
Ww unaona saa 3:00 ni sawa kabisa na saa 3:50? Kama ni hivyo ukiwa Mkurugenzi wa shirika la ndege tutapata tabu sana.

Kushindwa kwa polepole kufata ratiba sawa na utakavyo wewe hakumsafish yule mza alouza migodi yetu.

Usiku mwema.
 
Hekima ,ujuzi
Kajifunze Tena maandiko
Hekima na uongo ni vitu viwili tofauti. Kajifunze tena hekima ya Mfalme Sulemani uone jinsi ambavyo hakuchanganya hekima na uongo, ndio sababu alisema: Midomo ya uongo ni chukizo kwa Bwana; bali watendao kweli ndio furaha yake. Nenda kasome tena Wakorintho imeandikwa hekima ya dunia hii ni upumbavu mbele za Mungu.
Leta hoja nyingine, mkuu
 
Kushindwa kwa polepole kufata ratiba sawa na utakavyo wewe hakumsafish yule mza alouza migodi yetu.

Usiku mwema.
Vivyohivyo kushindwa kwa Polepole kufuata ratiba kunaonyesha kwamba na yeye ana mapungufu. Lala salama, mkuu
 
Back
Top Bottom