Polepole amefanya nimwelewe Magufuli

Ukweli gani? Sasa mbona hakuna miundombinu aliyokamilisha badala yake waliokamilisha kwamkukopa wanasutwa?
 
Sawa,vipi hoja zake nazo tuzipuuze?
Hoja zipi?. Mbona haongelei kupigwa risasi Lissu pale Dodoma?.

Unyama wote umefanyika awamu ya tano Polepole akiwa mwenezi wa CCM akiwa mtu wa karibu na hayati.

Leo anataka kuuvuta umma upande wake kwa kuzinyooshea vidole dhambi za SSH, za kwake nani azinyooshe vidole?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…