Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
ThanksHana lolote mkuu. Aliaminika zamani, kwa sasa hana mvuto tena. Mienendo yake baada ya kula mavyeo hayakuakisi Polepole yule tuliyemfaham hapo zamani. Na kwa kuwa muda ni mwalimu mzuri, na kwa kuwa Technology ni mchawi, atakumbushwa kwa maneno yake mwenyewe wakati akiwa mpigania nchi na wakati amepata vyeo.
Akina pole2 wametusumbua sana. Lkn pia Kuna watu walikuwa wanawasingizia kesi watu ili wapate vyeo. Jamaa walisumbua sana
Polepole Ni mtu smart Sana.. lakini Magufuli alimgeuza na kuwa mtu mpuuzi na takataka.
Sasa anajaribu kutuomba msamaha sisi tuliomuona mtu wa maana kipindi Cha nyuma..anatuomba msamahakwa kiujanja ujanja..
Binafsi neendelea kumsikiliza lakini siwezi kumsamehe.
Unaijua Vieitee wewe?Friends and Our Enemies,
Hakuna mwalimu bora wa kipind chote kama muda,muda tokea zama na zama umekuwa ni mwalim shupavu Sana ambae anaweza kutoa elimu ambayo ikaeleweka kwa kila mwenye akili timamu bila ya kutumia NGUVU kubwa sana,
Bahati kubwa sana kwa kizaz hiki mwalim.mwingine ambae ameongezeka ni Teknolojia.
Pole pole,yapata miez sita hiv sasa baada ya msiba mkubwa kabisa kulikumba Taifa letu,msiba ambao ni vigum kuupokea lkn kwa kuwa safar hii ni yetu sote hatuna budi kuupokea na kuendelea na maisha,tupo kwenye foleni hakuna atakaebakia kwenye safar hii,
Pole pole,amekataa kabisa kukubaliana na hali hii kias Cha kupelekea kuongea vitu vinavyomfanya aonekane kama ni mtu ambae amerukwa na akili.
Amesahau kabisa miez sita iliyopita yeye na baadh wenzake ndiyo walikuwa watu special ambao wametengeneza kikundi Chao ambacho ni UNTOUCHABLE...NDAN NA NJE YA CHAMA.
Ukithubutu kukosoa au kuhoji maamuz yoyote ndan ya kikundi hiko basi utakiona Cha mtema Kuni,ni kikundi ambacho kilijivisha ngozi ya kondoo huku kikihubiri uzalendo na utiifu kwa kiongoz mkuu kwa asilimia mia moja,leo kiongoz wa kikundi hiko ambacho pole pole na wenzake walikuwa walinz wa legacy ile hayupo.
Kukosekana kwa kiongoz huyo pole pole na wenzake kama Cyprian musiba,makonda,Sabaya n.k hawaamin kuwa it's all over na wanashindwa ku move on na maisha ya kawaida.
Wanachoshindwa kuelewa ni kwamba muda na Teknolojia vinawaumbua na kuwafanya waonekane vituko ndan ya ccm na nje ya ccm,kama hawakuweza ongea chochote kipind Taifa lipo kwenye majaribu makubwa hawawez eleweka wakijitokeza saiz na kuongelea mwenendo wa serikali ambayo wao wenyewe wameshiriki kuiunda na kuitetea.
Kinachomsumbua pole pole kwa sasa siyo uzalendo Wala uchungu wa nchi yake,kinachomnyima usingizi ni ile Hali ya kutoamin kuwa yeye si chochote Wala lolote katika serikali hii na kwamba hayupo Tena kwenye hiyo PARRALLEL STATE ambayo walishaitengeneza kuitafuna nchi hii.
Pole pole ajifunze kusoma alama za nyakati na aheshimu ulimwengu kwani siku zote sponsor nae hufariki.
Kwani Polepole anachokifundisha amesema kipo katika Serikali ya Mama Samia? Amesema Serikali ya awamu ya 6 imepigwa copy? Binafsi naona Polepole anachokielezea nchi nyingi za Africa kipo na ndiyo kinatupa mkwamo katika maendeleo ya mataifa yetu.
Unaijua Vieitee wewe?
Kutoa maoni ni makosa au mnataka watu wasiongee
Kijiwe kimekuwa kigumu ghafla,kaanza kulialia.Ha ha ha,
Anasema kila kiongoz wa ccm anatembelea viete,unaijua viete wewe??
Kipind ambacho yeye na marehem wapo madarakan mbona hawakutoa room ya watu kukosoa,na kila aliekosoa alionekana kuwa siyo mzalendo??
Kumbe freedom of speech ni tamu Sana,ndiyo atambue sasa
Wote,weye na yeye,ni miCCM.Mtulie.Friends and Our Enemies,
Hakuna mwalimu bora wa kipind chote kama muda,muda tokea zama na zama umekuwa ni mwalim shupavu Sana ambae anaweza kutoa elimu ambayo ikaeleweka kwa kila mwenye akili timamu bila ya kutumia NGUVU kubwa sana,
Bahati kubwa sana kwa kizaz hiki mwalim.mwingine ambae ameongezeka ni Teknolojia.
Pole pole,yapata miez sita hiv sasa baada ya msiba mkubwa kabisa kulikumba Taifa letu,msiba ambao ni vigum kuupokea lkn kwa kuwa safar hii ni yetu sote hatuna budi kuupokea na kuendelea na maisha,tupo kwenye foleni hakuna atakaebakia kwenye safar hii,
Pole pole,amekataa kabisa kukubaliana na hali hii kias Cha kupelekea kuongea vitu vinavyomfanya aonekane kama ni mtu ambae amerukwa na akili.
Amesahau kabisa miez sita iliyopita yeye na baadh wenzake ndiyo walikuwa watu special ambao wametengeneza kikundi Chao ambacho ni UNTOUCHABLE...NDAN NA NJE YA CHAMA.
Ukithubutu kukosoa au kuhoji maamuz yoyote ndan ya kikundi hiko basi utakiona Cha mtema Kuni,ni kikundi ambacho kilijivisha ngozi ya kondoo huku kikihubiri uzalendo na utiifu kwa kiongoz mkuu kwa asilimia mia moja,leo kiongoz wa kikundi hiko ambacho pole pole na wenzake walikuwa walinz wa legacy ile hayupo.
Kukosekana kwa kiongoz huyo pole pole na wenzake kama Cyprian musiba,makonda,Sabaya n.k hawaamin kuwa it's all over na wanashindwa ku move on na maisha ya kawaida.
Wanachoshindwa kuelewa ni kwamba muda na Teknolojia vinawaumbua na kuwafanya waonekane vituko ndan ya ccm na nje ya ccm,kama hawakuweza ongea chochote kipind Taifa lipo kwenye majaribu makubwa hawawez eleweka wakijitokeza saiz na kuongelea mwenendo wa serikali ambayo wao wenyewe wameshiriki kuiunda na kuitetea.
Kinachomsumbua pole pole kwa sasa siyo uzalendo Wala uchungu wa nchi yake,kinachomnyima usingizi ni ile Hali ya kutoamin kuwa yeye si chochote Wala lolote katika serikali hii na kwamba hayupo Tena kwenye hiyo PARRALLEL STATE ambayo walishaitengeneza kuitafuna nchi hii.
Pole pole ajifunze kusoma alama za nyakati na aheshimu ulimwengu kwani siku zote sponsor nae hufariki.
Polepole bashiru hawa jamaa wamepeleka mpini balaa kwa dada zetu wasaka teuzi
Kuna mwana dada yake alikuwa anaunyapia udc bashiru alikuwa anamchakata bahat mbaya ndo hvyo kifo cha mwendazake kimeenda na vyeo vya wengi
Ila Kama MAKU hawa jamaa WAMEZIMBATO Sana
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Acha TU mkuu hawa jamaa wamekula had visivyoliwa (wake za watu)Duuh,ina maana mkuu bila kutoa iliwe hakieleweki siyo??
ha ha ha,Hebu leta hoja acha matusi! Hizo hasira za kukosa buk7 zipeleke kwenye kilimo utatoka ndugu hayo matusi hata ungevurumisha makubwa na mengi kiasi gani hayana msaada zaidi ya kuanika uwezo wako mdogo wa kifikra!
Angekua mkweli angekemea tangu wakati ule, akajikausha. Haaminiki tena. Inahitaji msuli kuweza kumtetea huyu jamaa ukaeleweka. Anazo hoja lakini yuko biased. Why now?Kwani Polepole anachokifundisha amesema kipo katika Serikali ya Mama Samia? Amesema Serikali ya awamu ya 6 imepigwa copy? Binafsi naona Polepole anachokielezea nchi nyingi za Africa kipo na ndiyo kinatupa mkwamo katika maendeleo ya mataifa yetu.
Ni kwa sababu hayo yote yalikuwepo in less than 7 months back na hakusema hata kidogo.Polepole anafundisha somo lake kwa ujumla lakini watu mnakuja kumchonganisha na rais kamakwamba uzalendo ni dhambi hakuna sehemu polepole kamtaja mtu lakini ndo abatungiwa uzi mwingi wa kumdhiaki. Ni kibaya kipi polepole amekiongea kama sik kujitia ujuwaji.
Ni kwa sababu hayo yote yalikuwepo in less than 7 months back na hakusema hata kidogo.