Polepole afunguka: Lowassa aliomba msamaha kabla ya kukatwa!

Polepole afunguka: Lowassa aliomba msamaha kabla ya kukatwa!

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,535
Reaction score
31,199
Akiongea bila kumtaja jina Humphrey PolePole anasema kuwa wote waliokatwa na kamati ya Mangula ambao walikuwa 15 waliitwa na kuelezwa sababu za kukatwa.

Sasa yule ambaye alionekana kukiuka maadili especially ya kifisadi alipoelezwa aliyoyafanya aliishia KUOMBA MSAMAHA..!!

Kwa ufupi tu Lowasaa alikutwa na uvunjifu wa maadili na hatimaye kukatwa!

Cc:KINGUNGE

Source: 360 cloudstv
 
Matusi hayasaidii kufuta ukweli...punguzeni panic...maswali kwa polepole yametoka kwa UKAWA!
 
Pole pole ni mwongo na mzushi, anachokisema hakipo ndani ya CCM, Hakuna popote katika kanuni, taratibu au sheria za CCM inaonyesha kuwa Kamati ya Maadili anapaswa kuita wagombea na kuwahoji.
Lakini yote kwa yote, hicho kitu anachosema Polepole hakikutokea kabisa.

Ni jambo la ajabu kabisa Polepole kuzungumzia jambo ambalo hakuna mahali popote limezungumzwa na kiongozi yoyote wa CCM.
 
Akiongea bila kumtaja jina Humphrey PolePole anasema kuwa wote waliokatwa na kamati ya Mangula ambao walikuwa 15 waliitwa na kuelezwa sababu za kukatwa.

Sasa yule ambaye alionekana kukiuka maadili especially ya kifisadi alipoelezwa aliyoyafanya aliishia KUOMBA MSAMAHA..!!

Kwa ufupi tu Lowasaa alikutwa na uvunjifu wa maadili na hatimaye kukatwa!

Cc:KINGUNGE

Source: 360 cloudstv

Anavyo ongea hivi anaongea kama nani?maana tunajua kamati kuu hayupo wala sio mjumbe wa NEC au ndio shobo ujinga.
 
Pole pole ni mwongo na mzushi, anachokisema hakipo ndani ya CCM, Hakuna popote katika kanuni, taratibu au sheria za CCM inaonyesha kuwa Kamati ya Maadili anapaswa kuita wagombea na kuwahoji.
Lakini yote kwa yote, hicho kitu anachosema Polepole hakikutokea kabisa.

Ni jambo la ajabu kabisa Polepole kuzungumzia jambo ambalo hakuna mahali popote limezungumzwa na kiongozi yoyote wa CCM.

Kati ya 38 mchujo ulibakiza 15 na baadae chekecheke likabakiza 5.

Kumbe wote walielezwa kwa nini wamekatwa...Lowassa aliomba msamaha baada ya kuoneshwa file!!!

Kwi kwi kwi...
 
ufanyike mdahalo wa polepole na LOWASSA tu muone anavyoumbuka LOWASSA polepole ni namba nyingine. nikijana anaepaswa kulindwa sana maana mafisadi wa hii nchi watambenea sasa hivi
 
ufanyike mdahalo wa polepole na LOWASSA tu muone anavyoumbuka LOWASSA polepole ni namba nyingine. nikijana anaepaswa kulindwa sana maana mafisadi wa hii nchi watambenea sasa hivi
Yuko well informed!

Haya mahojiano na CLOUDS 360 yarudiwe aisee!
 
Kati ya 38 mchujo ulibakiza 15 na baadae chekecheke likabakiza 5.

Kumbe wote walielezwa kwa nini wamekatwa...Lowassa aliomba msamaha baada ya kuoneshwa file!!!

Kwi kwi kwi...

Wewe ni kilaza kweli unauhakika aliomba msamaha mbona inakuwa kama zombe hivo!
 
Akiongea bila kumtaja jina Humphrey PolePole anasema kuwa wote waliokatwa na kamati ya Mangula ambao walikuwa 15 waliitwa na kuelezwa sababu za kukatwa.

Sasa yule ambaye alionekana kukiuka maadili especially ya kifisadi alipoelezwa aliyoyafanya aliishia KUOMBA MSAMAHA..!!

Kwa ufupi tu Lowasaa alikutwa na uvunjifu wa maadili na hatimaye kukatwa!

Cc:KINGUNGE

Source: 360 cloudstv

Kijana muongo na mchumia tumbo. Siku zimeisha zaulaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom