funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,535
- 31,199
Akiongea bila kumtaja jina Humphrey PolePole anasema kuwa wote waliokatwa na kamati ya Mangula ambao walikuwa 15 waliitwa na kuelezwa sababu za kukatwa.
Sasa yule ambaye alionekana kukiuka maadili especially ya kifisadi alipoelezwa aliyoyafanya aliishia KUOMBA MSAMAHA..!!
Kwa ufupi tu Lowasaa alikutwa na uvunjifu wa maadili na hatimaye kukatwa!
Cc:KINGUNGE
Source: 360 cloudstv
Sasa yule ambaye alionekana kukiuka maadili especially ya kifisadi alipoelezwa aliyoyafanya aliishia KUOMBA MSAMAHA..!!
Kwa ufupi tu Lowasaa alikutwa na uvunjifu wa maadili na hatimaye kukatwa!
Cc:KINGUNGE
Source: 360 cloudstv