Jecha kwa vyovyoye Baba yake halsi ni laza alikuwa mfuga ng'ombe.Jecha awe Mkuu wa Usalama wa Taifa
Jecha kwa vyovyoye Baba yake halsi ni laza alikuwa mfuga ng'ombe.Jecha awe Mkuu wa Usalama wa Taifa
Ungejua jinsi sisi watanganyika tulivyofurahi,ungecheka sana.Na tunataka Zanzibar urudishiwe haki yake maana hatupendi tena tuje tusikie,Tanganyika imevaa koti la muungano na imeiacha Zanzibar kwenye baridi.Rekebisha kila kitu kabisa.Ilikuw kawaida tokea Mzee Mwinyi alipomaliza muda wake wa Urais, hatukuwa na namna ya kumpata Rais mwingine toka Zanzibar.
Wazanzibar tulibakia na Umakamu tu na mpaka ikawa ndio majaliwa yetu. Lakini kifo cha Magufuli kimeleta jambo lisilozoweleka.
Kazi za Makamu wa Rais ni kufungua makongamano na kutembea na mikasi kufungua miradi na majengo au kuweka mawe ya msingi.
Pili ilikuwa kushughulikia Mazingira.
Uendeshaji wa Serikali ulikuwa chini ya Rais na Waziri Mkuu, sasa kibao kimegeuka. Najua mnatamani mbadili Katiba ili angalau Makamu aongezewe status katika maamuzi, lakini itabidi mvumilie mpaka pale mama atakapoona kuwa inafaa hivyo.
Natamani pia kuona Serikali ya mama akimteua Mkuu wa Usalama Mzanzibari, Mkuu wa Majeshi Mzanzibari na Mkuu wa Polisi Mzanzibari ili combination iwe sawia.
Ndugu zetu watanganyika wabakie na Maboksi ya Mikasi na Makamu wao ili waone ladha ya umuhimu wa Serikali Tatu zilizopendekezwa na Warioba.
Una ka ukweli fulani.Usisahau hata Mzee Mwinyi hakuwa mnzanzibar kama unavyosema. Mzee mwinyi ni Mzaramo wa mkuranga, au hilo nalo ulikuwa ulijui? Zanzibar yenyewe imejaa wazaramo, wanadengereko, wasukuma, wanyamwezi na wamakonde. Na siku hizi hata wamasai nao wameanzaa kuja huko na wao wanajiita wanzanzibar. Wenye Zanzibar yao ukiwataka miaka hii lazima uwatafute sana na unaweza usiwapate kabisa.
Sisi tunafikiri kabla ya Matokeo kuibuka,
Kwanza kabisa, elewa kwamba nawakilisha maoni ya Nyerere yaliyomfanya atake Muungano wa aina hiyo, haya si maoni yangu.ukoloni kivipi? yaani nchi zikiungana kuwa kitu kimoja ni ukoloni? yaani Tanganyika inakubaliana na Zanzibar zinaungana na kuwa nchi moja ya Tanzania ambayo raia wake wote wa kutoka pande mbili wanakuwa na haki sawa, ndio ukoloni? yaani hii inafanana na ile ya Uingereza kuitawala Tanganyika?
sasa kama kuungana na kuwa nchi moja kungekuwa ukoloni kwa Zanzibar iweje sasa hii ya kuungana na kuifuta Tanganyika isiwe ni ukoloni kwa Tanganyika?
Nilikuwa najaribu kuelezea hizo point alizozisema Nyerere hapo kwenye video, shukurani sana kwa kuweka video ya Baba Kabwela akifafanua mwenyewe kwa uwezo wake mkubwa wa uchambuzi ambao mimi sijauweza kuufikia.Una ka ukweli fulani.
Lakini wazanzibari wenyewe wapo ,wakiwemo na hao wazaramo na wamakonde, kwa mujibu wa sheria ,na tamko la mwaka 1964 la Mzee karume , na wao pia ni wazanzibari.
Tanznia ni muungano wa Nchi mbili
Katiba ya Zanzibar pia inaitambua Utaifa wa Zanzibar
1. Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la
Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka
na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na
Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.
2. Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazounda Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania
Msikilize Nyerere mwenyewe anaongea hapa.ukoloni kivipi? yaani nchi zikiungana kuwa kitu kimoja ni ukoloni? yaani Tanganyika inakubaliana na Zanzibar zinaungana na kuwa nchi moja ya Tanzania ambayo raia wake wote wa kutoka pande mbili wanakuwa na haki sawa, ndio ukoloni? yaani hii inafanana na ile ya Uingereza kuitawala Tanganyika?
sasa kama kuungana na kuwa nchi moja kungekuwa ukoloni kwa Zanzibar iweje sasa hii ya kuungana na kuifuta Tanganyika isiwe ni ukoloni kwa Tanganyika?
Ateue tu hao Wazenji. Wazenji Siyo mafisadi kama watu wa up country. Yaani kama wataweza kuyadhibiti haya mafisadi yetu ya huku mbona hakuna tatizo hata kidogo...!!Ilikuw kawaida tokea Mzee Mwinyi alipomaliza muda wake wa Urais, hatukuwa na namna ya kumpata Rais mwingine toka Zanzibar.
Wazanzibar tulibakia na Umakamu tu na mpaka ikawa ndio majaliwa yetu. Lakini kifo cha Magufuli kimeleta jambo lisilozoweleka.
Kazi za Makamu wa Rais ni kufungua makongamano na kutembea na mikasi kufungua miradi na majengo au kuweka mawe ya msingi.
Pili ilikuwa kushughulikia Mazingira.
Uendeshaji wa Serikali ulikuwa chini ya Rais na Waziri Mkuu, sasa kibao kimegeuka. Najua mnatamani mbadili Katiba ili angalau Makamu aongezewe status katika maamuzi, lakini itabidi mvumilie mpaka pale mama atakapoona kuwa inafaa hivyo.
Natamani pia kuona Serikali ya mama akimteua Mkuu wa Usalama Mzanzibari, Mkuu wa Majeshi Mzanzibari na Mkuu wa Polisi Mzanzibari ili combination iwe sawia.
Ndugu zetu watanganyika wabakie na Maboksi ya Mikasi na Makamu wao ili waone ladha ya umuhimu wa Serikali Tatu zilizopendekezwa na Warioba.
Mbegu ya chuki, ukabila na udini wako wajinga wamekuwa wakiipandikiza TULIONYA HAWAKUSIKIA ACHA TUVUNE...Tanzania ni taifa lililokomaa kisiasa kuliko mataifa zaidi ya 98% hapa Africa
1. A peaceful transition ilihakikisha Samia anakuwa Rais
2. Tanzania hakuna ukabila au ubaguzi wa aina yoyote. Nenda kenya au Rwanda watu ofisini counter ya Benki wanaongea kilugha, huwezi kukuta duka la Mkikuyu anayeuza ni mjaluo, never.
Watanzania hawjali kabila gani ni Rais. na baada ya Samia Rais ni Mzanzibar
na sisi tumewawekea zanzibar rais kutoka bara so bila bila au nasema uongo ndugu zanguuuuuKutesa kwa zamu. Hii ni zamu ya Wazanzibari. Msipotumia fursa hii vizuri, shauri yenu.
Ndo tayari sasa unajisikiaje Mzenji yuko kwenye usukani...Unajua kwanini wazanzibar wengi uwezo wao wa kufikiri Ni mdogo? It's simple wale wakizaliwa wanabonyezwa kisogoni ili wasiwe na kisogo wasijue kwamba wanaharibu central processing ya Brain at the end wanaishia kuwa matahira au people with low thinking capacity.
Kupewa nchi Mzanzibar atawale bara na visiwani itokee tu Kama hivi ila haiwezekani.
Kwani inamuhusu magufuli?Wakati unaumia na kifo cha muheshimiwa sana, umepata kusikia ripoti ya Cag?
Nai hii ni hata wiki haijaisha
KwendraaaEti tumkumbuke Magufuli...hahahaaa kwa lipi haswa?
Nyerere anafananisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kama United States, sasa United States zile state zina state government na kisha kuna federal governmentMsikilize Nyerere mwenyewe anaongea hapa.
Nimemuelewa Nyerere alichokuwa anataka kukisema. Ila mfano wake nadhani haukuwa mfano bora...Nyerere anafananisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kama United States, sasa United States zile state zina state government na kisha kuna federal government
Sasa kwa case ya Tanganyika na Zanzibar, mbona hakuna state government ya Tanganyika?
Awamu ya tano (hapa kazi tu) makamu wa rais hakuwa na kazi yeyote. kazi zote za uzinduzi/ufunguzi zilifanywa na jiwe hata ambazo zilistahili kufanywa na DC, jamaa alikuwa anapenda asifiwe yeye tu.
Amefananisha kwa muktadha kwamba kila state ina uhuru wake.Nyerere anafananisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kama United States, sasa United States zile state zina state government na kisha kuna federal government
Sasa kwa case ya Tanganyika na Zanzibar, mbona hakuna state government ya Tanganyika?
Acha ukuda,amir jeshi ni mzanzibar na safar hii lazima mnyooke watanganyika.Unajua kwanini wazanzibar wengi uwezo wao wa kufikiri Ni mdogo? It's simple wale wakizaliwa wanabonyezwa kisogoni ili wasiwe na kisogo wasijue kwamba wanaharibu central processing ya Brain at the end wanaishia kuwa matahira au people with low thinking capacity.
Kupewa nchi Mzanzibar atawale bara na visiwani itokee tu Kama hivi ila haiwezekani.