Poleni Watanganyika, Umakamu wa Rais umewalazimu muwe watulivu

battawi

JF-Expert Member
Mar 29, 2014
2,672
2,540
Ilikuw kawaida tokea Mzee Mwinyi alipomaliza muda wake wa Urais, hatukuwa na namna ya kumpata Rais mwingine toka Zanzibar.
Wazanzibar tulibakia na Umakamu tu na mpaka ikawa ndio majaliwa yetu. Lakini kifo cha Magufuli kimeleta jambo lisilozoweleka.

Kazi za Makamu wa Rais ni kufungua makongamano na kutembea na mikasi kufungua miradi na majengo au kuweka mawe ya msingi.
Pili ilikuwa kushughulikia Mazingira.

Uendeshaji wa Serikali ulikuwa chini ya Rais na Waziri Mkuu, sasa kibao kimegeuka. Najua mnatamani mbadili Katiba ili angalau Makamu aongezewe status katika maamuzi, lakini itabidi mvumilie mpaka pale mama atakapoona kuwa inafaa hivyo.

Natamani pia kuona Serikali ya mama akimteua Mkuu wa Usalama Mzanzibari, Mkuu wa Majeshi Mzanzibari na Mkuu wa Polisi Mzanzibari ili combination iwe sawia.

Ndugu zetu watanganyika wabakie na Maboksi ya Mikasi na Makamu wao ili waone ladha ya umuhimu wa Serikali Tatu zilizopendekezwa na Warioba.

images (2).jpg


images (5).jpg


images.jpg
 
Unajua kwanini wazanzibar wengi uwezo wao wa kufikiri Ni mdogo? It's simple wale wakizaliwa wanabonyezwa kisogoni ili wasiwe na kisogo wasijue kwamba wanaharibu central processing ya Brain at the end wanaishia kuwa matahira au people with low thinking capacity.

Kupewa nchi Mzanzibar atawale bara na visiwani itokee tu Kama hivi ila haiwezekani.
 
Unajua kwanini wazanzibar wengi uwezo wao wa kufikiri Ni mdogo? It's simple wale wakizaliwa wanabonyezwa kisogoni ili wasiwe na kisogo wasijue kwamba wanaharibu central processing ya Brain at the end wanaishia kuwa matahira au people with low thinking capacity.

Kupewa nchi Mzanzibar atawale bara na visiwani itokee tu Kama hivi ila haiwezekani.
Mkuu umesemaaa!!! Hahahahaha
 
Naona baadhi yenu mumeanza kutaharuki.
Makmo wa raisi ni Msaidizi Muhimu wa Raisi ,endapo raisi atampangia ajukumuna Kumshirikisha ipasavyo.
Isome nui Katiba.

Mkamu
wa Rais, kazi
na mamlaka
yake
Sheria ya 1994
Na.34 ib.11
Sheria ya 2000
Na.3 ib.9
47.-(1) Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atakuwa
ndiye Msaidizi Mkuu wa Rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya
Muungano
kwa jumla, na hususan-
(a) atamsaidia Rais katika kufuatilia utekelezaji wa siku
hata siku za Mambo ya Muungano;
(b) atafanya kazi zote atakazoagizwa na Rais;
(c) atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini
au yuko nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom