Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,117
- 49,475
Kwanza kabisa,Poleni kwa misiba mizito inayoendelea,
Pili nawapongeza na kuwapa pole wale wanaume waliooa wale wanawake tunaowaita ambitious women
Wanawake wanaojiangalia wao, wanawake wenye malengo makubwa makubwa, wanawake wasioweza kuvumilia shida , Yaani wao pesa mbele Kama tai,
Huwa nawaonea huruma hawa wakinababa, maanake inabidi upambane ya hela yote uweze kufit kwenye nafasi ya kumiliki ambitious woman,
Sasa bora awe ni mchepuko, akiwa mke wa Ndoa ya Kikristo mwanaume utaamua ukae nyuma Kama mkia au ukimbie nyumba,
Ambitious women hawana masikhara , mume hatakiwi kukosa wala kupungukiwa, mume hatakiwi kuugua, mwanaume unatakiwa kuwa full time provider bila kukosa.
Nachowapendea ambitious women hawaogop kuwa single mothers kabisa kwa sababu wanaamini wapo vizuri kwenye kujitafutia, wana mandoto makubwa makubwa na wanawaza mafanikio (financially) 24/7,
Kwa mwanaume yoyote Mwenye mke wa namna hii , leo natoa pongezi zangu kwake
Na kukuusia uzidi kupambana, ambitious women ni wazuri kwa future Ya wanao
Pili nawapongeza na kuwapa pole wale wanaume waliooa wale wanawake tunaowaita ambitious women
Wanawake wanaojiangalia wao, wanawake wenye malengo makubwa makubwa, wanawake wasioweza kuvumilia shida , Yaani wao pesa mbele Kama tai,
Huwa nawaonea huruma hawa wakinababa, maanake inabidi upambane ya hela yote uweze kufit kwenye nafasi ya kumiliki ambitious woman,
Sasa bora awe ni mchepuko, akiwa mke wa Ndoa ya Kikristo mwanaume utaamua ukae nyuma Kama mkia au ukimbie nyumba,
Ambitious women hawana masikhara , mume hatakiwi kukosa wala kupungukiwa, mume hatakiwi kuugua, mwanaume unatakiwa kuwa full time provider bila kukosa.
Nachowapendea ambitious women hawaogop kuwa single mothers kabisa kwa sababu wanaamini wapo vizuri kwenye kujitafutia, wana mandoto makubwa makubwa na wanawaza mafanikio (financially) 24/7,
Kwa mwanaume yoyote Mwenye mke wa namna hii , leo natoa pongezi zangu kwake
Na kukuusia uzidi kupambana, ambitious women ni wazuri kwa future Ya wanao