Mmepigana na Mbowe ili aanguke katika uchaguzi mkashindwa.93% .
Nawapa pole sana kwa "kipigo" hicho.
Kubali yaishe tusonge mbele.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwamba matokeo hukuyaona kweli au hukuyategemea ulipoyaona yakakupa upofu!, pole.Wekeni idadi ya kura ,jumla ya kula ,nano kapata ngapi na nani kapata ngapi zilizoharibika ,kiufupi wekeni matokeo yote hapa ,tuwambia eti mbowe kapa asilimia hizi ni upuuzi na upimbavu mkubwa kwa watu waliosoma hata la pili tu
Kuweni making na weledi toeni matokeo
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
haya majamaa ni mizigo ila ndio tunajitahidi kuyabeba hivyo hivyo tu.
Kumetokea nini mkuu mpaka uwape pole?Mmepigana na Mbowe ili aanguke katika uchaguzi mkashindwa.93% .
Nawapa pole sana kwa "kipigo" hicho.
Kubali yaishe tusonge mbele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado unavaa pumpers maana syo kwa mh@rooWekeni idadi ya kura ,jumla ya kula ,nano kapata ngapi na nani kapata ngapi zilizoharibika ,kiufupi wekeni matokeo yote hapa ,tuwambia eti mbowe kapa asilimia hizi ni upuuzi na upimbavu mkubwa kwa watu waliosoma hata la pili tu
Kuweni making na weledi toeni matokeo
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwehu wewe kule kijijini kwenu mama yako analala humoWekeni idadi ya kura ,jumla ya kula ,nano kapata ngapi na nani kapata ngapi zilizoharibika ,kiufupi wekeni matokeo yote hapa ,tuwambia eti mbowe kapa asilimia hizi ni upuuzi na upimbavu mkubwa kwa watu waliosoma hata la pili tu
Kuweni making na weledi toeni matokeo
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
MWAMBA KATUVUSHA SALAMA , SESILIA MPAMBE KAANGUKIA PUA NA LUMUMBA.Mmepigana na Mbowe ili aanguke katika uchaguzi mkashindwa.93% .
Nawapa pole sana kwa "kipigo" hicho.
Kubali yaishe tusonge mbele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilianza kipigo cha Mkulima huko Canada halafu kikafuatia cha Jemadari Mbowe Hahahaaaa!!!Mmepigana na Mbowe ili aanguke katika uchaguzi mkashindwa.93% .
Nawapa pole sana kwa "kipigo" hicho.
Kubali yaishe tusonge mbele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wekeni idadi ya kura ,jumla ya kula ,nano kapata ngapi na nani kapata ngapi zilizoharibika ,kiufupi wekeni matokeo yote hapa ,tuwambia eti mbowe kapa asilimia hizi ni upuuzi na upimbavu mkubwa kwa watu waliosoma hata la pili tu
Kuweni making na weledi toeni matokeo
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee SI bure Kuna mtu wa CHADEMA alikunananiliii wewe Si kwa povu hili!
Ni aibu sana kwa nguvu mlizotumia ikiwa ni pamoja na uchawi lakini bado mmeangukia puaWekeni idadi ya kura ,jumla ya kula ,nano kapata ngapi na nani kapata ngapi zilizoharibika ,kiufupi wekeni matokeo yote hapa ,tuwambia eti mbowe kapa asilimia hizi ni upuuzi na upimbavu mkubwa kwa watu waliosoma hata la pili tu
Kuweni making na weledi toeni matokeo
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuendelea Mbowe kuwa mwenyekiti wa hicho kikundi cha waharifu ni fursa kubwa sana tena sana kwa CCM kuendelea kushinda kila uchaguzi na kushika dola, tunashukuru sana wafuasi wa Mbowe kwa kuendelea kukubali kuongozwa na mtu asiyekuwa na maono, mvivu, mzembe, mkabila, mzinzi, muoga, fisadi mla wabunge na ruzuku, muhuni wa kitaa, msaliti
Vita yetu tunaihamishia mwaka 2020Mmepigana na Mbowe ili aanguke katika uchaguzi mkashindwa.93% .
Nawapa pole sana kwa "kipigo" hicho.
Kubali yaishe tusonge mbele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rafiki unazingua bhana! Mliniuliza kuhusu Elimu nikawajibu, nimewauliza na nyie mnagoma kunijibu!Ngoja Lisu arudi ammalizie kufuta ushahidi maana Mbowe hataki viherehere wa kutaka kuchukua uenyekiti wake.